hello JF bros n sisz!
watu wengi wamekuwa wakitaka kuagiza magari kwa njia ya mtandao. ni njia rahisi na inayosave muda na gharama nyingine kama nauli nk na unapata gari kwa bei poa. mimi ni miongoni mwa wanaoleta magari kwa njia hiyo na nigependa niwape points muhimu ambazo zitawasaidia wale wanaotaka kuleta magari kwa njia hiyo.
WAKATI WA KUNUNUA
1. makampuni mengi siku hizi yanaweka picha za magari lakini magari hayo hayapo katika stock yao.
2. unaweza kulipia gari kisha ukaambiwa gari hilo limenunuliwa na mtu mwingine kwa hiyo wanakuletea gari linalofanana na lile. wanaweza wakakupa kwa bei ile ile, au kwa bei ndogo na wakakurudishia chenji au wakakwambia uongeze pesa zingine.
3. unaweza ukatuma pesa na huyo ulomtumia akaingia mitini. yaani ukaibiwa usipate chochote na hata ukimfuatilia unaweza kupoteza muda tu. mfano katika trdcarview kuna makampuni yamewekwa kwenye blacklist kwa makosa tofauti.
GARI KWENYE MELI.
4. unaweza ukanunua gari vizuri na meli ikaingia ila documents zikachelewa kufika then hapo unatakiwa ujiandae na storage kubwa.
5. meli inaweza kupata chochote wakati ipo kwneye maji so ni vyema iwapo utalipia na insurance yaani CIF na sio CNF.
6. sometimes meli inawahi kuingia kuliko ilivyotarajiwa na hii ni mbaya iwapo utakuwa hufuatilii movements za meli bandarini.
7. gari inaweza kucheleweshwa kutuma hata kwa zaidi ya mwezi mzima gari haijatoka japan.
GARI IKISHAFIKA BANDARINI
7. baadhi wameletewa gari zina sctratch na dent tofauti na walizoziona kwneye picha ambazo zimekuwa edited.
8. kuna washenzi wana tabia ya kuchomoa vitu muhimu ndani ya gari kama vile power windows, cd players, cd changers, screens nk.
9. gari inaweza kuchunwa au kukwanguliwa wakati ipo bandarini na huna wa kumlaumu.
KULIPIA USHURU TRA
10. mtandao wa TRA haupo stable kabisa na hiyo ndio sababu kubwa wanayoitumia siku hizi katika kuchelewesha kutoa documents za kulipia ushuru. yaani kukupa assesment.
11. TRA hawakupi ushuru kulingana na invoice yako uliyonunulia badala yake wanakupangia ushuru kwa bei wanayotaka wao. mfano umenunua gari kwa CIF $2500 wao wanaweza kukupigia ushuru wa bei ya USD 3500
13. registration ya gari huwa inachukua kati ya wiki 1 mpaka mwezi mzima otherwise utoe kidogodogo.
MUHIMU
- wakati unaagiza gari usisahau kuwaambi wakufanyie JAAI inspection ambayo inacost kama usd 200- 350. usipofanya huku watakuja kukufanyia kwa zaidi ya 700,000 na kukuongezea storage charge bure.
- ukiambiwa kwa mfano gari hilo linacost ml5 kuanzia kulinunua mpaka kulisajili ni vizuri ukajindaa na ml6 au zaidi maana baadhi ya vitu havina guarantee mfano ushuru wataokupa tra, storage charge, agent fees, shipping line agent fees nk.
- ni vizuri ulete gari isiyozidi miaka 10 na isiyozidi CC 2000 (exept magari ya mizigo na mabasi) maana haina kodi ya uchakavu na excess duty.
- unapolitoa gari lako bandarini hakikisha umeandikisha vibao vinavyoonyesha chasis namba, umekatia insurance angalau ya wiki 1, ina triangle na fire extinguisher ili kukwepa usumbufu wa askari barabarani nk.
wadau kama nimesahau kitu ni vizuri kuongezea mimi ni binadamu.
nategema hii itakuwa useful kwa wale wanaotaka kuanza kuimport magari.
watu wengi wamekuwa wakitaka kuagiza magari kwa njia ya mtandao. ni njia rahisi na inayosave muda na gharama nyingine kama nauli nk na unapata gari kwa bei poa. mimi ni miongoni mwa wanaoleta magari kwa njia hiyo na nigependa niwape points muhimu ambazo zitawasaidia wale wanaotaka kuleta magari kwa njia hiyo.
WAKATI WA KUNUNUA
1. makampuni mengi siku hizi yanaweka picha za magari lakini magari hayo hayapo katika stock yao.
2. unaweza kulipia gari kisha ukaambiwa gari hilo limenunuliwa na mtu mwingine kwa hiyo wanakuletea gari linalofanana na lile. wanaweza wakakupa kwa bei ile ile, au kwa bei ndogo na wakakurudishia chenji au wakakwambia uongeze pesa zingine.
3. unaweza ukatuma pesa na huyo ulomtumia akaingia mitini. yaani ukaibiwa usipate chochote na hata ukimfuatilia unaweza kupoteza muda tu. mfano katika trdcarview kuna makampuni yamewekwa kwenye blacklist kwa makosa tofauti.
GARI KWENYE MELI.
4. unaweza ukanunua gari vizuri na meli ikaingia ila documents zikachelewa kufika then hapo unatakiwa ujiandae na storage kubwa.
5. meli inaweza kupata chochote wakati ipo kwneye maji so ni vyema iwapo utalipia na insurance yaani CIF na sio CNF.
6. sometimes meli inawahi kuingia kuliko ilivyotarajiwa na hii ni mbaya iwapo utakuwa hufuatilii movements za meli bandarini.
7. gari inaweza kucheleweshwa kutuma hata kwa zaidi ya mwezi mzima gari haijatoka japan.
GARI IKISHAFIKA BANDARINI
7. baadhi wameletewa gari zina sctratch na dent tofauti na walizoziona kwneye picha ambazo zimekuwa edited.
8. kuna washenzi wana tabia ya kuchomoa vitu muhimu ndani ya gari kama vile power windows, cd players, cd changers, screens nk.
9. gari inaweza kuchunwa au kukwanguliwa wakati ipo bandarini na huna wa kumlaumu.
KULIPIA USHURU TRA
10. mtandao wa TRA haupo stable kabisa na hiyo ndio sababu kubwa wanayoitumia siku hizi katika kuchelewesha kutoa documents za kulipia ushuru. yaani kukupa assesment.
11. TRA hawakupi ushuru kulingana na invoice yako uliyonunulia badala yake wanakupangia ushuru kwa bei wanayotaka wao. mfano umenunua gari kwa CIF $2500 wao wanaweza kukupigia ushuru wa bei ya USD 3500
13. registration ya gari huwa inachukua kati ya wiki 1 mpaka mwezi mzima otherwise utoe kidogodogo.
MUHIMU
- wakati unaagiza gari usisahau kuwaambi wakufanyie JAAI inspection ambayo inacost kama usd 200- 350. usipofanya huku watakuja kukufanyia kwa zaidi ya 700,000 na kukuongezea storage charge bure.
- ukiambiwa kwa mfano gari hilo linacost ml5 kuanzia kulinunua mpaka kulisajili ni vizuri ukajindaa na ml6 au zaidi maana baadhi ya vitu havina guarantee mfano ushuru wataokupa tra, storage charge, agent fees, shipping line agent fees nk.
- ni vizuri ulete gari isiyozidi miaka 10 na isiyozidi CC 2000 (exept magari ya mizigo na mabasi) maana haina kodi ya uchakavu na excess duty.
- unapolitoa gari lako bandarini hakikisha umeandikisha vibao vinavyoonyesha chasis namba, umekatia insurance angalau ya wiki 1, ina triangle na fire extinguisher ili kukwepa usumbufu wa askari barabarani nk.
wadau kama nimesahau kitu ni vizuri kuongezea mimi ni binadamu.
nategema hii itakuwa useful kwa wale wanaotaka kuanza kuimport magari.