Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,865
Watu uliofanya nao uzinzi, nafsi zao hubakia ndani yako kwa kazi maalum. Soma hii:
Kuna nafsi za watu wengi zinaishi ndani ya mtu kumtesa kulingana na watu aliowahi kushiriki nao uzinzi. Kila aliyeshiriki uzinzi na wewe, nafsi yake hubaki ndani yako kukutesa na wakati mwingine kukuzuia usipate mume/mke mwingine, ili abaki yeye tu katika ulimwengu wa roho.
Akiwa ni mwanaume mmoja, basi kunakuwa na nafsi moja.
Wakiwa ni wawili, basi kunakuwa na nafsi mbili.
Wakiwa watano, basi kunakuwa na nafsi tano zikishindanda ndani ya mtu, na mara nyingi zinamsumbua hata usiku kwa kumbukumbu za matukio, na mara nyingi zinamsumbua kwa kuja katika ndoto kushiriki naye tendo, n.k.
Leo tutajitenga nazo.
Kila unayemkumbuka, jitenge naye.
Kata mawasiliano.
Kataa nafsi yake inayoishi ndani yako.
Kataa ile roho (spirit) inayoishi kwako.
Simamia hii mistari, soma kwa umakini:
Wakati mwingine, kama wale ulio lala nao walikuwa na nafsi zinazoishi ndani yao, basi unapolala nao, zile nafsi pia huja ndani yako. Ukiunganisha na ya kwake, basi linakuwa jeshi kubwa.
Ushuhuda:
Rafiki mmoja alikuwa na mahusiano na binti mmoja, walilala pamoja sana na kushiriki uchafu... Itaendelea.
- Ili kututesa.
- Kuja katika ndoto, na kushiriki uzinzi na sisi.
- Kutuzuia tusioe au kuolewa.
- Kutuvurugia amani na upendo kwenye mahusiano mengine au ndoa.
- Kujichua kupitia nafsi zao.
- Kutufanya tuwe makahaba kwa kutamani kulala na kila mwanaume/mwanamke mpya mbele ya macho yetu.
Kuna nafsi za watu wengi zinaishi ndani ya mtu kumtesa kulingana na watu aliowahi kushiriki nao uzinzi. Kila aliyeshiriki uzinzi na wewe, nafsi yake hubaki ndani yako kukutesa na wakati mwingine kukuzuia usipate mume/mke mwingine, ili abaki yeye tu katika ulimwengu wa roho.
Akiwa ni mwanaume mmoja, basi kunakuwa na nafsi moja.
Wakiwa ni wawili, basi kunakuwa na nafsi mbili.
Wakiwa watano, basi kunakuwa na nafsi tano zikishindanda ndani ya mtu, na mara nyingi zinamsumbua hata usiku kwa kumbukumbu za matukio, na mara nyingi zinamsumbua kwa kuja katika ndoto kushiriki naye tendo, n.k.
Leo tutajitenga nazo.
Kila unayemkumbuka, jitenge naye.
Kata mawasiliano.
Kataa nafsi yake inayoishi ndani yako.
Kataa ile roho (spirit) inayoishi kwako.
Simamia hii mistari, soma kwa umakini:
- Mithali 3:32–33
- 1 Wakorinto 6:15–19
Wakati mwingine, kama wale ulio lala nao walikuwa na nafsi zinazoishi ndani yao, basi unapolala nao, zile nafsi pia huja ndani yako. Ukiunganisha na ya kwake, basi linakuwa jeshi kubwa.
Ushuhuda:
Rafiki mmoja alikuwa na mahusiano na binti mmoja, walilala pamoja sana na kushiriki uchafu... Itaendelea.