Unatafuta kiwanja Dodoma?

Good Neighbour

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2017
Posts
942
Reaction score
898
ENEO LA BIASHARA+ MAKAZI-DODOMA(Ukisikia bahati ndio hii)

MAHALI
Michese-Iringa road(Nyuma ya usalama wa taifa).

-Eneo liko opposite na kibao cha shule ya msingi michese(utaona kwenye picha)

UMBALI
Kilomita 9 tu toka katikati ya jiji-Dodoma

UKUBWA
square metres 1008

FRAME ZA BIASHARA
kina frame 08 na bado eneo limebaki kubwa.

HUDUMA ZA KIJAMII
maji,umeme viko jirani.

BARABARA
Ni eneo la kwanza toka barabara kuu inayokuja kuwekwa lami hivi karibuni iendayo michese ambayo tayari imeshapimwa.

KUPIMWA; Eneo tayari limekwishapimwa linasubiri tu hati.(Tafadhali tazama mchoro kwenye picha)

FURSA ZILIZOPO
Eneo lilipo ni kituo cha daladala za michese-panaitwa kibao cha shule.Daladala husimamama hapo kushusha abiria!!Hiki ni kigezo muhimu na kikubwa sana hasa katika kutambulisha na kukuza biashara yako kwa haraka

Barabara inakuja kuwekwa lami siku si nyingi hivyo ni fursa kubwa sana kibiashara

Biashara kama vile hotel,mavazi,pub/bar,hardware,mbao,tofauli zinaweza toka kwa urahisi zaidi kwani maeneo ya jirani(kinyambwa extesion,miganga,chidachi) yanakua kwa kasi sana.utaona kwenye picha

Huduma kama vile kituo cha afya,duka la dawa,bar&lodge,migahawa ni chache sana.Hivyo tumia fursa hii mapema!!!Kazi ni kwako

MALIPO
unaweza lipa cash au kwa awamu

MALIPO YA CASH
bei ya eneo lote+frame zake ni milioni 16 Tu

MALIPO YA AWAMU
-milioni 18 (ndani ya miezi minne,yaani milioni 4.5 kila mwezi)
-Milioni 20(ndani ya miezi. sita,yaani takribani milioni 3.3 kila mwezi)

CONTACTS
0767833496(whatsap)
0622111186

Nasemaje; Mwenye macho haambiwi ona na mwenye kuona fursa kama hii hawezi iacha.

Eneo ni mali yangu halali na sio dalali
 

Attachments

  • IMG_20180130_101714_6.jpg
    673.5 KB · Views: 83
  • IMG_20180130_101402_2.jpg
    565.9 KB · Views: 84
  • IMG_20180130_101402_2.jpg
    565.9 KB · Views: 73
  • IMG_20180130_103708_8.jpg
    716.5 KB · Views: 74
  • IMG_20180130_101841_2.jpg
    845.4 KB · Views: 79
ENEO LA KIWANDA KWA BEI YA SADAKA

MAHALI
Mbuyuni jijini dodoma

UMBALI
kilomita 7 toka city centre

UKUBWA
square metres 6048(ekari moja na nusu)

UMEME+MAJI
Viko jirani sana

BARABARA
ni nzuri na imechongwa vizuri

Eneo liko nyuma ya kiwanda cha dawa(MSD) na jirani na machinjio,viwanda vingine vilivyo sehemu iyo ni pesi,coca,WFP,fao,alizeti,magodoro,dengu,bia(safari lager)

BEI
milioni 20 tu

MATUMIZI
KIWANDA

0767833496
0622111186View attachment 849952

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bei ya Sadaka! kanisa gani hilo mkuu sadaka yake mil 20.
 
Kiwanja mlimwa C-Dodoma

ukubwa-546 square metres
umbali-3.5km toka city centre
maji+umeme vyote vipo site tayari(utaona picha)
Kimepimwa na hakina deni lolote
Bei-milioni 6(fixed)
0767833496
0622111186
Kwenye ramani ni kiwanja chenye doti nyekundu.
Tafadhali usiache fursa hii
 
INDUSTRIAL PLOT FOR SALE IN DODOMA

LOCATION ; MBUYUNI-DODOMA

DIRECTION; SINGIDA ROAD

PLOT SIZE ; 6040 SQM

PLOT USE ;INDUSTRIAL

DISTANCE ; 7KM FROM CITY CENTRE,1 KM FROM THE MAIN ROAD

CLEAN TITLE DEED

PRICE ; 35Millions Tzs(negotiable)

THE INDUSTRIES THAT ARE NEARBY THE PLOT INCLUDES MSD,PEPSI,MAGODORO DODOMA,COCONUT OIL
0767833496
0622111186
 
Mkuu no disrespect ila kikifikia 16m cash nitafte niweke mkwanja mezani. Asante.
 
VIWANJA MLIMWA C-KWA WAZIRI MKUU(DODOMA)
umbali wa 3.5km toka city centre
maji+umeme vyote viko jirani na site
Vimepimwa+havina deni lolote
Bei zake ni kama ifuatavyo
1.SQM 470-BEI 6.8M
2.SQM 510-BEI 7.2M
3.SQM 612-BEI 11M
4.SQM 1056-BEI 14M
NB;kwenye ramani ni viwanja vyenye doti nyekundu
0622111186
0767833496
 
Hivi hawa maafisa ardhi wanaopitisha hivyo vichochoro wana akili timamu kweli?, kiwanja upana m 14/15 huu si uchochoro huu,
 
Hivi hawa maafisa ardhi wanaopitisha hivyo vichochoro wana akili timamu kweli?, kiwanja upana m 14/15 huu si uchochoro huu,
Lego lao mtu apate access kwenye barabara kuu, ila ukweli kiwaja cha mita 15 kwa upana huwezi kujenga nyumba ya maana kwa kawaida inakuwa na upana 15 to 25m.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…