johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Hali waliyofikia wazungu katika maswala ya Jinsia kiukweli inatisha.
Kwa sasa Watoto wa kizungu wanafundishwa kujitambua kama "Mtu" na siyo kama Mvulana au Msichana
Serikali lazima iachane na Mitaala ya Magharibi vinginevyo hakuna namna ya kuwaokoa Watoto wa Matajiri na Viongozi wanaosoma shule hizo za Kimataifa.
Ushoga umefikia pabaya ndio sababu Qatar walikuwa wakali kwenye FIFA World Cup.
Prof Mkenda chukua hatua zaidi
Kwa sasa Watoto wa kizungu wanafundishwa kujitambua kama "Mtu" na siyo kama Mvulana au Msichana
Serikali lazima iachane na Mitaala ya Magharibi vinginevyo hakuna namna ya kuwaokoa Watoto wa Matajiri na Viongozi wanaosoma shule hizo za Kimataifa.
Ushoga umefikia pabaya ndio sababu Qatar walikuwa wakali kwenye FIFA World Cup.
Prof Mkenda chukua hatua zaidi