umetoka zako mzigoni unafika nyumbani unakutana na hii je utafanyaje
Konabo;umetoka zako mzigoni unafika nyumbani unakutana na hii je utafanyaje
If you cant beat them, join them!![]()
Pamoja na uzembe wa wazazi/walezi nadhani hawa watoto wanastahili kuachiwa sakafu tu, Aghrrr!!
Nimeshapoteza aisee ki kik kiii
Kwanza utaanza ahahahaha, mmefanya nini kisha unapiga ngumi kwenye kochi, wakishituka kama wanataka kulia unabembeleza njooni wanangu kisha Unawaogesha na tin. lol! unaanza kazi ya usafi.