Wapendwa salamu,
Hivi unarekebishaje mahusiano pale unapogundua mwenzi wako ameku'changanya'. Yani umemkuta na mtu read handled alafu anakiri na kuomba msamaha, nini cha kufanya usamehe na kusahau ili maisha yaendelee?
Niko mwisho wa kipimo cho akili yangu
Hivi unarekebishaje mahusiano pale unapogundua mwenzi wako ameku'changanya'. Yani umemkuta na mtu read handled alafu anakiri na kuomba msamaha, nini cha kufanya usamehe na kusahau ili maisha yaendelee?
Niko mwisho wa kipimo cho akili yangu