farajakwangu
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 1,942
- 701
Ukitaka kuondoa usumbufu India Viatu Na ndala nje funga mlango we uone kama kuna atakayesumbua, kama hauna feni utajiju
hahaha! pole mkuu vpi hadi leo mzingo hujapiga!
Ungemuona ungemng'ata???.
mh unaish mwenyewe?
ina maana anaekuja kugonga anakufata wewetu,?
Tukirudi kwenye mada, hii kitu ya mtu kugonga sipendi sana.
Tuwe wastaarabu, ukigonga mara moja ukaona kimya then leave immediately sio kung'ang'ana
Nami kuna mjinga mmoja alinikosesha mbunye last Saturday kwa style hii ya kipuuzi. Aligonga wakati manzi ashalainika na mwanzo alikuwa kakataa kunipa mzigo. Sasa wakat ameshalainika na anaanza kunogewa na ashajiachia naanza kujisevia jinga moja likagonga mlangoni sana kama dk mbili nzima. Ile ku pay attention mlangoni muda wote ule na wasiwasi wa dem mzuka wote ukaisha. Dem akazingua hataki tena. Nlimaindi sana na ana bahati sikubahatika kumuona matter core yake!
Nipo mwenyewe mkuu!!