tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,145
Hakuna watu wanaonikera kama hawa, pamoja na kukua kwa teknolojia ya mawasiliano bado mtu anaibuka tu nyumbani na kuanza kugonga milango kwa fujo bila kujali ni muda gani, upo na nani na unafanya nini!!
Mi ninachofanya nikifika nyumbani nalock milango tu, sasa hapo mtu atagonga atachoka!!
Mi ninachofanya nikifika nyumbani nalock milango tu, sasa hapo mtu atagonga atachoka!!