Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,489
- 40,506
Kwa hiyo mkuu,inamaana mwenzako akiwa hana kipato mahusiano yanaweza yasiwepo?Sasa utadeal vipi na mtu usiyejua anachojishughulisha nacho?
Kama hawezi kujitunza anawezaje kuungana nawe mkajitunza wote?
Pesa ni muhimu,ila mahusiano kwanza...pesa itafuata.Mapenzi bila pesa Ni uchuro
katika hali hiyo,inamaana uhusiano wenu unaunganishwa na kipatoIn fact,sio swali baya kiviile
Nadhani sielewi uzi unataka nini....Kwa hiyo mkuu,inamaana mwenzako akiwa hana kipato mahusiano yanaweza yasiwepo?
Ndo kinachofanya mahusiano yapate afya na kuchanua.katika hali hiyo,inamaana uhusiano wenu unaunganishwa na kipato
Ukimuambia ni mzibua vyoo,lazima upigwe chini. Hapo ndipo ujue kilichopendwa ni kazi tuTransparency ni kitu poa kwa relationship, nadhani Wadada wapo sawa kuuliza hivo.
Katika mazingira hayo,tunaweza kusema aina ya kazi huchangia kiwango kikubwa kwenye mahusiano. Mtu anapendwa kutokana na kazi yakeNadhani sielewi uzi unataka nini....
Uzi unasema ukiulizwa swali la unajishughulisha na nini jua kuna kuliwa.
Sio kweli kwasababu kuna kazi ambazo siwezi kuwa nazo karibu maishani mwangu na nisingetamani wawe wapenzi wangu.
Swali la pili...inategemea.....kwa Jane inaweza kuwa jibu ni ndiyo ila kwa Rowin jibu likawa hapana.
Uje ujaribu kumuambia unatembeza karanga...halafu uje utupe mrejeshoAtajuaje kama anadate jambazi je?
Inamaana kipato kikipotea, hakuna tena mahusianoNdo kinachofanya mahusiano yapate afya na kuchanua.
Sio kweli kwamba mtu akitaka kujua kipato anakuwa after money,japo wapo wa hivyo.
Ni kweli,ukiziweka wazi jua amefuata kile ulichonacho.Inahitaji mda wa kufikir kuamua kuweka mali zako wazi
ha ha ha ha ukimuambia hivyo lazima upigwe chini, tofauti na hapo labda awe amekupenda toka moyoniKwa mfano nikimwambia hiyo manzi,kuwa Mimi msukuma mikokoteni atakua hanipendi kwa kuwa msukuma mikokoteni?
Inanikumbusha bongo move moja alicheza cheki budi inaitwa mapito.inahusu mada hapo juu.