Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,998
Mwanakijiji, nitakukumbusha kitu kimoja.
Kwa kawaida siku zote mtu anapokuwa na mahusiano ya aina hii (i.e. la ndoa na la wizi/kuibia/nje) huwa ana kawaida ya kupendelea la nje (na ndio maana akaliruhusu kuingilia la ndani). na kwa kuwa la nje ni la wizi (mnakuwa na muda mfupi wa kuwa pamoja tena wa kuibia) huwa ni tamu na unatamani uliminiki kabisa uligeuze liwe la ndani (Stolen kisses are sweetest- so they say). Inapokuwa hivi haimaanishi kuwa ukiwa nalo lile ndipo utaridhika na utaishi maisha ya Cinderela peponi au Romeo and Juliet!! La haha.
Sababu kuu ya kulitamani sana la nje ni kuwa- kwa sababu unalipendelea kuliko la ndani, basi akili na milango yote ya hisia inafungwa kwa ndani kiasi cha kuwa unamwona mwenzio hakufai, unajuta na hata yale mazuri akiyafanya unaishia tu kuguna ........mh huyu naye!! anajishaua tu wakati ukifanyiwa the same thing na wa nje unakuwa excited na badala ya kuguna na kumwona anajishaua unabakia na Woow, wow and wow again! Si ajabu ukipewa nafasi ya kuishi naye kama mkeo/mumeo kwa muda flani unawezajikuta unagundua kuwa kumbe naye si wa kiviiiile.
Remember: The greener the pasture on the other side of the fence, means more water and hard work to keep it that way. Why dont you make your own grass green using the same water and efforts you are to use in that other side?
...pokea chokileti zako!....maana haki lillah umegonga pale pale ninapopalalama siku zote...ubarikiwe sana ewe mwj1....
...mapenzi haya ni kitu gani mpaka watu wanafikia kuua mtu? mapenzi haya ni kitu gani mke/mume uliyeng'ang'ana kuoana naye na hata kutishia kujiua baada ya muda unamtoa thamani na kumuoana si lolote si chochote?
tatizo tunaachia akili zetu zituongoze badala ya mioyo yetu...tumejikuta hatujui kikomo cha mapenzi...
no wonder wengi wetu, hata humu jf bado twajiuliza ati mapenzi ni nini!
kwakua umeamua kuonana na mtu ambae huku mpenda kamwe huwezi kusahau penzi la yule uliykuwa umempenda suluhisho lilipo kamwe usioe/olewa na mtu ambae moyo wako haujaridhika jamani kwenye ndoa kuna mambo mengi na kubwa linalobeba hayo makorokocho yanayotokea ni jinsi mliivyopendana tangu siku ya kwanza mlipoonana