BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
akunyimae mbaazi anakupunguzia ,mishu**i...........
Tonge tamu au unaganga njaa
Kuna mtu alishanyanganywa tonge mdomoni, kumbe kulikuwa na mpango wa kumuua na tonge lilikuwa limewekewa sumu.
Kwa hiyo aliyenyang'anya akala akafa.
Kwa hiyo mara nyingine kinachoonekana kama balaa kinaweza kuwa baraka iliyojificha.
akunyimae mbaazi anakupunguzia ,mishu**i...........
hayamezeki lakini yanafaa kumegwa tu......................ahaaaaaaaaaaa
Du hivi kunyang'anywa ni sawa na kulitema?
Maana unaweza usinyang'anywe lkn ukaliona halifai ukalitema! Kwa case ya pili, ni unafeel hasira na majuto. Hii ya kwanza sina experience nayo!
Then tonge kama hilo hata mtu akija kulikwapua sidhani kama itauma saana maana lilikuwepo kwa ajili ya kumegwa tu na si vinginevyo.
Mhhh Mkuu kuna matonge mengine hayamezeki kila ukijaribu kuliweka mdomoni linakataa so unashukuru hata akija mtu kulinyakua mkononi mwako unashukuru kuwa mzigo umeondoka
koni lenyewe kama limetiwa chumvi badala ya sukari kwanin nisishukuru?
Umeona eeehh
matonge mengine bora tuu hata kunguru alikwapue maana halifai kumeza waliweka mkononi waliangalia tuu kulimega washindwa kulitupa washindwa
ukiona mtu anakuja kulichukua washukuru Mungu afadhali limeondoka
Kaunga funguka.....ya kwako uliyowahi kukutana nayo ikoje?
Hahaaaaaa......Ntumeeeee
Mimi bado bwana sijawahi kupokonywa, kudokolewa sawa lakini si kupokonywa kabisa. Sasa tonge likiruhusu mwingine alidokoe nalitema kabisa!
Ila du la sasa hivi, naona sikubali lidokolewe (tamu hiloo) nna mpango wa kulimeza mapema (thanks kwa ushauri dear friend),
Ulimege mara ngapi wakati liko mkononi tayari??
poa tu maana linawezu kuwa na sumu...aliyeninyang'anya ameniepushia kifo.
mbwembwe hazitakiwi kabisa