Ukiwa Tandale au Uhafiwa usalama wako uko juu yako, umekwenda pale kwa hiari yako, lakini ukiwa benki kwa minajili ya kudeposit hela basi umekaribishwa na benki na kama benki imekukaribisha basi wanawajibika kwa kila hali na usalama wako na mali zako.
Haitajalisha kama umedeposit fedha hizo benki au la.