Unapohisi umechoshwa na ndoa yako

Unapohisi umechoshwa na ndoa yako

Daudi1,.Migogoro inanafasi nzuri sana ya kujifunza na kumfahamu vizuri mwenza wako.Ukishindwa kuzijua tabia,hisia,na yaliyokuwa matarajio yake kwako basi tarajia matatizo zaidi ikiwemo hiyo michepuko

Njia nzuri ya kuzuia kuchokana ni kupitia "mitoko". Tunaweza kuamua weekend hii twende maeneo ambayo wala hatujawai fika.So tumekwenda bagamoyo,kigamboni,bongoyo,tanga.Hii inaimarisha sana ndoa
Ni kweli mkuu ila wengi wetu hatufanyi hayo kwa wake au waume zetu,na huwa yanafanyika kipindi cha uchumba mkiingia kwenye ndoa yote yanasahaulika
 
ASANTE mtoa mada na tutajaribu kuzingatia mawazo yako lakini kuna wanawake wengine ni balaa hawataki kushauriana wao ni watu kupenda mambo makuu hawapendi amani hata kidogo yaani mpaka unakaribia kujuta au unajuta kuwa nae MAWAZO YAKO NI MEMA NA YENYE KUJENGA ASANTE

hii mifont yako unajifunza kuchapisha kadi? ujinga huu.
 
Back
Top Bottom