Unapodhani unapendwa, kumbe majanga

Unapodhani unapendwa, kumbe majanga

Ok9

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2013
Posts
4,556
Reaction score
4,162
Siku moja majambazi yamevamia nyumbani kwako, baada ya kuchukuwa kila walichukuwa wanakihitaji wakakupatia bunduki ili umuue mkeo. Kwa haraka ukapiga magoti kwa unyenyekevu ukiwasihi wakuwie radhi kwani huwezi kumuua mkeo sababu unampenda.Kwa hasira wakakunyang'anya bunduki na kumpatia mkeo,chapuchapu mkeo akakamata mtutu na kuifyatua risasi kwa bahati mbaya hakukuua na risasi hata moja.Wakacheka sana na kisha kutokomea gizani.

Swali:
1.Ikiwa wewe ndio mwanamume huyo utafanyaje?
2.Ikiwa wewe ndio mwanamke huyo utafanyaje?
 
Kwa kuwa mwanamke ni dhaifu siku zote. Nitamsamehe tu.
 
Nawalaani ccm kwa nguvu zote

Wengi hatuipendi ccm lakini isiwe jamvi la kuangushia lawama hata ambazo hawahusiki nazo. Utamkanyaga nyoka akugonge na mwisho utawalaumu ccm kwa mwendo huu.
 
Hahahaha ni mwendo wa kuudanganya moyo tu
 
Wengi hatuipendi ccm lakini isiwe jamvi la kuangushia lawama hata ambazo hawahusiki nazo. Utamkanyaga nyoka akugonge na mwisho utawalaumu ccm kwa mwendo huu.

wewe nani wa kunichagulia cha kuandika ?
mimi hata nikiwa nakula nikipaliwa tu nailaani ccm
 
wewe nani wa kunichagulia cha kuandika ?
mimi hata nikiwa nakula nikipaliwa tu nailaani ccm

Siwezi kukuchagulia cha kuandika kama ambavyo wewe huwezi kuwachagulia wengine. Hapo Nimekuelewa Mkuu.

Kwa sentesi yako ya pili ndiyo kabisa umefunga kazi. All the best!
 
Avatar yako na unachokiongea vinaendana kabisa. Ni kama unauza chai lakini ndio uhalisia wenyewe huko kwenu.
na mwanaume akioa huko halafu awe na mali hii ndoto inamhusu kabisa na pengine kwa kuongezea ndoto zaidi ni kwamba hiyo bunduki lazima iwe na risasi
 
wewe nani wa kunichagulia cha kuandika ?
mimi hata nikiwa nakula nikipaliwa tu nailaani ccm

wakati unailaani kumbuka wew umewalaan wangap na ukasahau mazuri walokutendea
 
Ntachonga ramani ya majambazi wengine alafu round hii sikosei maana ntawambia waweke japo karisasi kamoja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom