Ntachonga ramani ya majambazi wengine alafu round hii sikosei maana ntawambia waweke japo karisasi kamoja
mimi hata jua likiwa kali sana mchana huwa nawalaani ccm.
wewe nani wa kunichagulia cha kuandika ?
mimi hata nikiwa nakula nikipaliwa tu nailaani ccm
Yan waje waibe tena ilimradi upate chance ya kumpiga mkeo risasi?
Wengi hatuipendi ccm lakini isiwe jamvi la kuangushia lawama hata ambazo hawahusiki nazo. Utamkanyaga nyoka akugonge na mwisho utawalaumu ccm kwa mwendo huu.