Gody
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 1,246
- 411
Wanajamvi/chit-chat unapewa nafasi ya uraisi na mamlaka yote ndan ya masaa 24 utaacha heshma gani Bila kuingiza chama chako cha siasa???
sasa kama mm napewa mamlaka kama haya 1.natema mkwara wawaachie wale wote waliofungwa kwa hira kwa hiari yao kabla ya masaa 2 sjaja kukagua nikija tu hawana kazi!! Ili waachie nafas ya mafsad
2. Weka mafisad woote maabusu siangalii sura sijui epa na richmon wote na wamwaka huu wasije wakakimbia
af ndo navuta riport ya CAG napitia tena zile sehemu zilizosemwa bungen ambazo haziitaji kuzsoma kwa phd wizara zote nikkukuta na kosa huko huko hukumu bila kujua siku ya kutoka!!!
3. Hapa ndo kimbembe
tume huru ya fasta kwa walio mtesa Dokta
na dokta mwenyewe akiwemo akiwasaidia
sasa mkimshika mtuhumiwa meno mawili tu moja chini lingne juu ya mbele
si mpeleki keko wala segerea huyu namfoward GWANTANAMO! kudadekii
ni kwa mfano tu!!!
sasa kama mm napewa mamlaka kama haya 1.natema mkwara wawaachie wale wote waliofungwa kwa hira kwa hiari yao kabla ya masaa 2 sjaja kukagua nikija tu hawana kazi!! Ili waachie nafas ya mafsad
2. Weka mafisad woote maabusu siangalii sura sijui epa na richmon wote na wamwaka huu wasije wakakimbia
af ndo navuta riport ya CAG napitia tena zile sehemu zilizosemwa bungen ambazo haziitaji kuzsoma kwa phd wizara zote nikkukuta na kosa huko huko hukumu bila kujua siku ya kutoka!!!
3. Hapa ndo kimbembe
tume huru ya fasta kwa walio mtesa Dokta
na dokta mwenyewe akiwemo akiwasaidia
sasa mkimshika mtuhumiwa meno mawili tu moja chini lingne juu ya mbele
si mpeleki keko wala segerea huyu namfoward GWANTANAMO! kudadekii
ni kwa mfano tu!!!