Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Akiona atajwa ajue mnamjali na kumkumbuka anaitaji ashukuru
Sindwa kusangaa!
Akiona atajwa ajue mnamjali na kumkumbuka anaitaji ashukuru
Mamma yangu! Plaiz ya kung'olea meno, haitahusika kweli ?
Mimi iko gopa bhana iyo !
Sorry Shem! Sikudhani kama ungetoka povu kiivo!
Sitorudia kukutajataja!
Beg excuse.
yeye hatang'olewa meno wala kucha ila ile kitu inayompa kiburi
Ningehakikisha PLATOZOOM & CHARMINGLADY nawapigisha ndoa ya mkeka! Leoleo .
Washaachana kimoja hao.
Napiga mahesabu ya kurusha ndoano
Washaachana kimoja hao.
Napiga mahesabu ya kurusha ndoano
hakika
hahaa,hupat kitu hapa hata utoe chapaa!
ningempeleka BISHANGA honeymoon
kha! mbna nasakamwa kila pembe ya nch? cdhan km kuna uzi hapa chitchat haujamtaja charminglady! CPUMUI . . . .
Acha wivu mkuu.Ona ulivyotepeta!
Tepweeetee!
Kumbe alishakunasa?
Na mishebeduo na mishauzi uliyokua nayo!
Bashaija kama anapaka slesi siagi vile !
Kakunasia ikulu ya kwenye screen!
Acha wivu mkuu.
Unataka na wewe uje na nani kutu join? Just joking,bila shaka utakuja na baby nasty,au vipi?
Hayakuhuuuuu....we si ulinkataa.
Yaani hapa umeuliza majibu BEIBE NASTY kwangu mie ndo mzima mpango! Afu fatilia huu uzi juu uone "Ze Katibu" anachotaka kukufanya through pliyze! Sasa huko hun mun utatumia nini? Kidole au Ulimi ?
Atakubakiza na kishina.
Wivu niutoe wapi Kiongozi wakati niko na BEIBE NASTY raha zote za dunia bby ananipa!
Namimi Bank A/c zangu zote vitabu nimemkabidhi .
We mwache au praise huo mnara wake