KWANI MAJINA YA KIAFRIKA YAMEISHA HADI UMUPE MTOTO MAJINA YA KIZUNGUYuri,Einstein,Tesla,Isaac,Newton,Da vinci kama hayajatosha sema niongeze
mkuuu hilo jina nililomchagulia ni la mtukufu... atakuja kuwa kiongozi mkubwa mwenye kutetea haki za wanyonge.Wewe naona hamumtakii mema mtoto wa mwenzenu.
Majina uumba.
Mpe Lisu.
Yapo ajasema kama anataka ya kiafrika au vipi?KWANI MAJINA YA KIAFRIKA YAMEISHA HADI UMUPE MTOTO MAJINA YA KIZUNGU
Magufuri
Hi Albert...Albert...
Ina maana ya Kiafrika au Kitanzania hakuna linalofaa?Yuri,Einstein,Tesla,Isaac,Newton,Da vinci kama hayajatosha sema niongeze