Unapenda kuingia kwenye Ndoa Bora?

Pacha nadhani 40 yrs as a single boy..sounds like mvulana..i have my brother with 41 yrs..he is almost mvulana aisee..
Back to the topic Mparee2 hizi disappointments ziko kote kote tu..nimeona wavulana wakiwatenda wasichana na halikadhalika wasichana wakiwatenda wavulana as in your case. Kikubwa jishikilie mtoto wa kiume..mlango mmoja ukifungwa mwingine unakuwa wazi..Never mind so much about your wasted money..Italipa tu siku moja!!!

kumbe pacha mkituoa tunawapandisha chati enh?lolest kwa wadada wooooote!
 
Hili tatizo ni la kitanzania zaidi, mimi ni mshichana wa miaka 31, au kama hii ya leo.
Nafikiri kwa mtazamo wa watu kama hao, ni kwamba kama hujaoa/hujaolewa au hauna mtoto wewe bado mvulana au msichana. Na kwa wao nafikiri kuwa msichana/mvulana ni sifa nzuri; lakini kwa maoni ya watu wengine hiyo inaonesha kutokomaa (kuwa immature); usichana uvulana unaishia at 18 according to culture nyingi za wenzetu na hata ukitafsiri kisheria za nchi yetu, hapo utoto unaisha na kuingia utu uzima.

If one wants to stress how young he/she is, kutumia neno "kijana" inatosha sana, au "young man/young woman" kama unataka kumomboka, lkn 'girl or boy' wakati uko 27 yrs old, haipendezi sana. Again ni mtazamo wangu tu!
wala sio uongo mtani wangu!mtu unakuwaje mvulana wa miaka 40,au msichana wa miaka 35 means kama unajitambulisha hivyo hta matendo na fikra zako zitakuwa za kisichana na kivulana,so hakuna mtu matured enough atataka kumake commitment ya kueleweka sanasana atakuchukulia hivohvo kisichana kisichsna au kivulanakivulana!
 
Mparee2

pole sana jamani ....ila kuna wadada wengine kha! kama humpendi mtu why
umpatie matumaini kiasi iko jamani mpaka mwenzake akawa 40 ndio
amteme.....
ila mkuu huwezi jua mungu kakuepushia nn juu ya huyo dada
saivi inabidi ushike ule msemo wa tenda wema uende zako usingoje
shukurani
na wlaa usimuombee mabaya mana ukimuombeaga mtu mabaya ndio mungu hua
anazidi kumbariki ni bora ukamuombea v\s

brilliant advice,brother!relax ur mind coz whatever happens to you whether good or bad is working out to bring you good alway,better thank GOD for the best that is yet to come
 
Pole sana, hilo ni fundisho kwa vijana kwamba afadhali kuoa kabisa kama mtu anaenda kujiendeleza kimasomo nje ya nchi, ungekuwa na legal rights za kumrudisha.
Pia inaonyesha ulimpenda sana hata baada ya kuona dalili zote bado ulimtegemea pole.
Na pia kwa sisi vijana kama mtu humpendi au una mpango nae afadhali kusema mapema maybe since 2009 angekuwa amepata mtu mwingine.

pole kaka yangu Mungu atakupa wa kwako.
 
Wako yupo ila hujamfahamu tu!!
Piga goti umuombe MUNGU akupe mke wako.
 
Mimi nampa pole sana mparee...I can feel his pain;
Kwa upande wa kujiita mvulana nahisi hilo sio tatizo hiyo ni lugha tu...(nafikiri ni direct translation ya Boy)Ila nimefurahi kuwa watu wengi wamemshauri vizuri...
Naona hajasema yupo wapi ila naamini kuna wasichana decent na walioko single na wanao match na huo umri...kwa nini wasim pm...you never know...nafasi ipo wazi......
 
Aisee ambiere, pole sana mdughu wangu. Sio wewe peke ako kutokewa na jambo kama hilo, hivyo usiwaze sana.

Mimi ndugu yako japo ni mdogo kwako yameshanikuta mara 2. Wa kwanza alitoka kwenye familia bora, nikahisi hatukuelewana sababu alikua ana kiburi cha hela. Huyu wa pili kwao hawana kabisaaaa, I gave her everything I could, yani mpaka wazazi walianza kua na wasiwasi. Si akalaghaiwa na kajamaa ka Kenya tulikutana nako Dubai. Tulibarikiwa mtoto, binti akamwacha my son kwa mama ake kijijini nilikokuwa nimewapeleka likizo. Akenda kula bata Dar. Mungu si Athumani jamaa akamkimbia binti hotelini.
Mimi nikaenda chukua mtoto tena na bunduki kabisa huko kijijini kwao.
I am settled with my son. Satisfaction yangu mimi ni kutengeneza hela na kutumia na mwanangu. Kwa kweli imani na mwanamke sitaki kabisaaa na wala sitafuti.

In the process nimeumiza mioyo ya mabinti wengi sana lakini heri wao waumie sio mimi tena.
Let money and the development it brings be your goal and happiness. Sio hawa viumbe wenzetu!

ambiere.shigha hijo ndima avae.unefwa bure... vache nte mkede kamili lakin gugha du..
 
ambiere.shigha hijo ndima avae.unefwa bure... vache nte mkede kamili lakin gugha du..
eliesikia, ambura kufwa tunerafwa vose avae. Mira mi nsagura kufwa nekiraseka. Thiku iji vache tehena, nidunganya ku ghesha muathu iki, kaicha naicho tekikave mh basi kangi.
Kaicha vogha ni hili lihumpa ah nimshigia Mrungu.
 
Mimi ni kijana (Mvulana) mwenye umri wa kukaribia miaka 40.
Historia yangu ya maisha ni ndefu kiasi ila kwa kifupi ni kuwa; nimetoswa na msichana niliyempenda na kumuamini sana kuwa angekuwa mwenza wangu.
Hii ilitokea baada ya kumsaidia kupata scholarship ya kwenda kusoma Holland kozi ya miaka mitatu (kuanzia mwaka 2007). Huyu msichana nilimpata wakati nipo chuoni….
Kwa kifupi ni kuwa nigharamikia mambo yote muhimu kwa safari ya nje ya nchi. Visa/ passport nk muda ulipofika alienda chuoni na tulikuwa na mawasiliano mazuri sana kwa mwaka wa kwanza (Facebk/skype na hata simu) ila yalienda yakipungua mwaka wa pili. Miezi ya katikati ya 2009 nilipata wakati mgumu sana kwani mara kadhaa usiku nawasha computer yangu nakuta yupo hewani kwenye Messenger ila niki chat anabakia kimya; baadae sana akinijibu anasema kuwa aliacha Comp. yake on akalala. Ilienda hivyo hivyo hadi mwishoni mwa mwaka (2009) akawa anadai mimi sina mapenzi ya kweli kwani sijawahi hata kuwa na wazo la kwenda kumtembelea chuoni kwake (huko Holland) nafikiri wanao jua Geography wanaweza kujua unavyosema unaenda kumasalimia mtu aliyeko East Holland unaongelea $$$ ngapi?
Iliniumia sana, kwani nilijua kabisa huo sio mwisho mzuri…iliendelea hivyo hivyo kwa malumbano madogo madogo hadi muda wa kurudi ukafika. Ile tar. Aliyo niambia angekuja hakuonekana na kila nikiimuuliza kuwa ameahirisha hadi lini anakwepa…
Baada ya kufuatilia kwao ( kwa kutumia mpambe) nikajulishwa kuwa amesha pata mtu mwingine raia wa nchi jirani na kwetu (walikutana huko chuoni) na wana tegemea kufunga ndoa.
....Nilijilaumu kwa kumpa nafasi ya kusoma….labda tungekuwa tumezaa naye mtoto????
Kinachoniumiza:
1. Nili dedicate mawazo yangu yote kwake sasa kwa umri huu (karibia 40yrs)nita anzaje tena kutafuta mchumba?
2. Wasichana wazuri ambao nafikiri nitamatch nao umri naona wengi wapo kwenye ndoa
3. Frankly I am desperately and I need your hands!
Naomba uni “pm” kama unacha kunishauri

Pole sana brother,
Pamoja na yote yaliyotokea bado naona kuna matumaini kilichopo no kutokakata tamaa kwani ukikata tamaa huwezi fika uendako. Umri sio tatizo naamini utampata aliyetulia ili uanze nae maisha.
Nakutakia kila la heri brother karibu tuendelee na mchakato wa kutafuta wenzi wa maisha, tuko wengi hauko peke yako utapata tu
thanks
 
Mimi ni kijana (Mvulana) mwenye umri wa kukaribia miaka 40.
Historia yangu ya maisha ni ndefu kiasi ila kwa kifupi ni kuwa; nimetoswa na msichana niliyempenda na kumuamini sana kuwa angekuwa mwenza wangu.
Hii ilitokea baada ya kumsaidia kupata scholarship ya kwenda kusoma Holland kozi ya miaka mitatu (kuanzia mwaka 2007). Huyu msichana nilimpata wakati nipo chuoni….
Kwa kifupi ni kuwa nigharamikia mambo yote muhimu kwa safari ya nje ya nchi. Visa/ passport nk muda ulipofika alienda chuoni na tulikuwa na mawasiliano mazuri sana kwa mwaka wa kwanza (Facebk/skype na hata simu) ila yalienda yakipungua mwaka wa pili. Miezi ya katikati ya 2009 nilipata wakati mgumu sana kwani mara kadhaa usiku nawasha computer yangu nakuta yupo hewani kwenye Messenger ila niki chat anabakia kimya; baadae sana akinijibu anasema kuwa aliacha Comp. yake on akalala. Ilienda hivyo hivyo hadi mwishoni mwa mwaka (2009) akawa anadai mimi sina mapenzi ya kweli kwani sijawahi hata kuwa na wazo la kwenda kumtembelea chuoni kwake (huko Holland) nafikiri wanao jua Geography wanaweza kujua unavyosema unaenda kumasalimia mtu aliyeko East Holland unaongelea $$$ ngapi?
Iliniumia sana, kwani nilijua kabisa huo sio mwisho mzuri…iliendelea hivyo hivyo kwa malumbano madogo madogo hadi muda wa kurudi ukafika. Ile tar. Aliyo niambia angekuja hakuonekana na kila nikiimuuliza kuwa ameahirisha hadi lini anakwepa…
Baada ya kufuatilia kwao ( kwa kutumia mpambe) nikajulishwa kuwa amesha pata mtu mwingine raia wa nchi jirani na kwetu (walikutana huko chuoni) na wana tegemea kufunga ndoa.
....Nilijilaumu kwa kumpa nafasi ya kusoma….labda tungekuwa tumezaa naye mtoto????
Kinachoniumiza:
1. Nili dedicate mawazo yangu yote kwake sasa kwa umri huu (karibia 40yrs)nita anzaje tena kutafuta mchumba?
2. Wasichana wazuri ambao nafikiri nitamatch nao umri naona wengi wapo kwenye ndoa
3. Frankly I am desperately and I need your hands!
Naomba uni “pm” kama unacha kunishauri
pole sana kaka yangu Mparee2.Hayo ndo maisha na jinsi ulimwengu unavyoenda,but usijali kwa mwanaume miaka 40 it's not a deal.mbona bado we mdogo sana tu?ishu huwa ipo kwa akina dada akiisha fikisha miaka hiyo na bado hajaolewa.But for you do the following;
1.Don't panic,
2.Usikimbilie kutafuta mpenzi wa haraka ili kumkomoa wako wa zamani,
3.Don't think of revenge,if possible assume umemsamehe huyo dada,
4.Think ulipata faida gani ulipokuwa naye?kama zipo keep them at your back uanze page mpya na kama hazipo ni time ya wewe kufikiria zaidi namna ya kupata mtu mwenye benefit kwako.
5.Give time for youself ili uweze kumtoa kabisa huyo dada akilini ndo uanze kutafut wa fyucha yako,usije ukampata haraka lakina ukaumiza hisia zake kwa kuwa feelings bado zipo kwa yule wa zamani.utakuwa umeharibu.
Huo ni ushauri wangu kaka.nina imani ukijaribu kuuaply,miracles might happen to you and ukampata mtu amnaye utaona ulikuwa umechelewa.I wish you a happy finding.
 
Mi bado mtoto (itifaki izingatiwe in 20's) ila kila nikicheki threads inaonekana mademu wa chuo ni disaster. Sasa sijui itakuwaje huko niendako maana post nyingi utata mtupu.

Usihangaike na mambo ya dunia,nenda upadri!
 
Aisee ambiere, pole sana mdughu wangu. Sio wewe peke ako kutokewa na jambo kama hilo, hivyo usiwaze sana.

Mimi ndugu yako japo ni mdogo kwako yameshanikuta mara 2. Wa kwanza alitoka kwenye familia bora, nikahisi hatukuelewana sababu alikua ana kiburi cha hela. Huyu wa pili kwao hawana kabisaaaa, I gave her everything I could, yani mpaka wazazi walianza kua na wasiwasi. Si akalaghaiwa na kajamaa ka Kenya tulikutana nako Dubai. Tulibarikiwa mtoto, binti akamwacha my son kwa mama ake kijijini nilikokuwa nimewapeleka likizo. Akenda kula bata Dar. Mungu si Athumani jamaa akamkimbia binti hotelini.
Mimi nikaenda chukua mtoto tena na bunduki kabisa huko kijijini kwao.
I am settled with my son. Satisfaction yangu mimi ni kutengeneza hela na kutumia na mwanangu. Kwa kweli imani na mwanamke sitaki kabisaaa na wala sitafuti.

In the process nimeumiza mioyo ya mabinti wengi sana lakini heri wao waumie sio mimi tena.
Let money and the development it brings be your goal and happiness. Sio hawa viumbe wenzetu!
what goes on must must come around lol
 
Back
Top Bottom