snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,701
- 23,629
Pacha nadhani 40 yrs as a single boy..sounds like mvulana..i have my brother with 41 yrs..he is almost mvulana aisee..
Back to the topic Mparee2 hizi disappointments ziko kote kote tu..nimeona wavulana wakiwatenda wasichana na halikadhalika wasichana wakiwatenda wavulana as in your case. Kikubwa jishikilie mtoto wa kiume..mlango mmoja ukifungwa mwingine unakuwa wazi..Never mind so much about your wasted money..Italipa tu siku moja!!!
kumbe pacha mkituoa tunawapandisha chati enh?lolest kwa wadada wooooote!