Kuna TAMASHA (Event) ninaandaa, na kuwezesha TAMASHA hili kuwa bora kama ninavyotarajia nilikua nahitaji kuomba UDHAMINI kutoka MAKAMPUNI kadhaa, sasa nilikua naomba kuuliza UDHAMINI unaombwa vipi? pia kama kuna mtu ana mfano (sample) ya barua inayo ambatanishwa wakati wa kutuma maombi haya naomba anitumie PM au naweza kumpa mawasiliano yangu anitumie hata whatsapp maana nimejaribu ku-google lakini sikufanikiwa kupata mfano wa barua inayokidhi mahitaji yangu.