SOKETI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2010
- 206
- 50
Salut wana jf, katika maisha ya kila siku swala la kupenda na kupenda ni jambo la kawaida na ni mingmi mwa mahitaji muhimu ya mwanadamu. Katika kumpenda mtu au kitu naamini kabisa lazima kuwe na sababu. Katika swala la kuchagua na kutafuta mtu atakayekua mwenzi wako huwa unategeka/vutiwa na nini, sehemu gani ya mwili(iwe vipi), tabia, uweledi/urembo, urefu/ufupi, uongeaji/ukimya n.k TOA MAONI YAKO