Unanitega..

SOKETI

JF-Expert Member
Jul 24, 2010
206
50
Salut wana jf, katika maisha ya kila siku swala la kupenda na kupenda ni jambo la kawaida na ni mingmi mwa mahitaji muhimu ya mwanadamu. Katika kumpenda mtu au kitu naamini kabisa lazima kuwe na sababu. Katika swala la kuchagua na kutafuta mtu atakayekua mwenzi wako huwa unategeka/vutiwa na nini, sehemu gani ya mwili(iwe vipi), tabia, uweledi/urembo, urefu/ufupi, uongeaji/ukimya n.k TOA MAONI YAKO
 
Salut wana jf, katika maisha ya kila siku swala la kupenda na kupenda ni jambo la kawaida na ni mingmi mwa mahitaji muhimu ya mwanadamu. Katika kumpenda mtu au kitu naamini kabisa lazima kuwe na sababu. Katika swala la kuchagua na kutafuta mtu atakayekua mwenzi wako huwa unategeka/vutiwa na nini, sehemu gani ya mwili(iwe vipi), tabia, uweledi/urembo, urefu/ufupi, uongeaji/ukimya n.k TOA MAONI YAKO

Duu, mkuu hapa huwezi kupata jibu la moja kwa moja. Kila mtu huvutiwa na aina fulani au muonekano fulani wa mtu. Mara nyingi uzuri wa mtu upo machoni pa anayemwangalia!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom