Unamtambua mwanafizikia yupi kati ya hawa?

Ahahaaaaaaaaaaah...
Mimi naona MAKAFIR tu hapo..!
Ambao kwa imani ya dini yako ni watu wasio na akili..!
We mla mashonde umetokea wapi.

Haya ndo madhara ya kunywa divai na mashonde kanisani.

Hivi unafahamu kwenye hiyo list kuna mpaka ma atheists

Halafu mbona unalazimisha sana dini iumane na sayansi?

My friend kati ya unaowaona hapo hakuna hata mmoja aliyetumia biblia kufanya gunduzi zake.
 
Aaah aah mkuu upo vizuri.
 
Aaah aah mkuu upo vizuri.
Mkuu mimi naijua vibaya mno Physics na Mathematics.Hao asilimia kubwa walikuwa kwenye Physics ila wapo wa kwenye math kina EUCLID naona picha yao hujaileta..

Walete na kina Leornard Euler ambaye ndio anahesabika kama best mathematician ever.Jamaa alipokufa macho akawa kipofu hivyo akaachana na mathematics
 
Pamoja sana kamanda.

Hao kuwafahamu unatakiwa uwe mpenzi kweli wa physics na mathematics maana wengi hapo ni physicists na mathematicians
 
Duuu .... Perrin , Wien , Curie, and Poincaré. Goldschmidt, Planck , H. Rubens , Sommerfeld, Lindemann, M. de Broglie , M. Knudsen, Hasenohrl , G. Hostelet , Herzen , Jeans, E. Rutherford , Kamerlingh Onnes, A. Einstein and Langevin .
Mkuu inaonekana ni mfuatiliaji
 
Mbele walioketi, wa tatu kutokea kushoto kwenda kulia huyo Bi Mkubwa wa kuitwa MARIE CURIE.

Namkubali sana
 
Ahahaaaaaaaaaaah...
Kumbe haujui maana ya Kafir..!
Kwahiyo Atheist sio Kafir..!!?
Kwako mwanasayansi ambaye hajatumia Biblia katika ugunduzi wake ndio sio Kafir..!?
Pole sana Ndugu Muislamu safi..!!!
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…