Unamtambua mwanafizikia yupi kati ya hawa?

Marie Curie - mwanamke wa kwanza kupata PhD ya Fizikia katika chuo kikuu cha Sorbonne Ufaransa. Mwanamke wa kwanza kuwa profesa wa Fizikia Sorbonne. Mwanamke wa kwanza kushinda zawadi ya Nobel mara mbili - katika Fizikia (na mumewe Pierre) na baadaye katika Kemia. Mwanamke wa kwanza kugundua elementi mbili mpya....

Niels Bohr - gwiji la Fizikia kutoka Sweden lililoweka misingi ya nguvu za mnunurisho...

Max Planck - Quanta.....

Einstein = Jiniazi la milenia ambalo liliushangaza ulimwengu mwaka 1905 kwa kuchapisha makala tatu zilizobadilisha kabisa mwelekeo wa Fizikia na kupindua utawala wa Sir Isack Newtown katika Fizikia...

Hili linatajwa kuwa ndilo kongamano lililojumuisha watu wenye akili kuliko kongamano lolote ambalo limeshawahi kutokea katika Fizikia na sayansi kwa ujumla !!!
 
walio simama mtu wa sita ni Schrödinger, Derivation of the Schrödinger Equation sio mchezo , walio kaa middle wa mwisho kulia ni Niels Bohr.Baada ya Bohr anayefuata ni Max Born
Mkuu unatisha ni wenyewe kabisa.

Nashangaa kwa nini watu hawamuoni Marie Curie wakati ni mwanamama pekee mfizikia na mkemia aliyefanya mambo ya ajabu in physics especially in radioactivity studies

Ana historia ya kutisha uyu mama.
 
Marie Curie - mwanamke wa kwanza kupata PhD ya Fizikia katika chuo kikuu cha Sorbonne Ufaransa. Mwanamke wa kwanza kuwa profesa wa Fizikia Sorbonne. Mwanamke wa kwanza kushinda zawadi ya Nobel mara mbili - katika Fizikia (na mumewe Pierre) na baadaye katika Kemia. Mwanamke wa kwanza kugundua elementi mbili mpya....

Niels Bohr - gwiji la Fizikia kutoka Sweden lililoweka misingi ya nguvu za mnunurisho...

Max Planck - Quanta.....

Einstein = Jiniazi la milenia ambalo liliushangaza ulimwengu mwaka 1905 kwa kuchapisha makala tatu zilizobadilisha kabisa mwelekeo wa Fizikia na kupindua utawala wa Sir Isack Newtown katika Fizikia...

Hili linatajwa kuwa ndilo kongamano lililojumuisha watu wenye akili kuliko kongamano lolote ambalo limeshawahi kutokea katika Fizikia na sayansi kwa ujumla !!!
Mkuu unatisha.

Solvay conference 1924.
 
Marie Curie - mwanamke wa kwanza kupata PhD ya Fizikia katika chuo kikuu cha Sorbonne Ufaransa. Mwanamke wa kwanza kuwa profesa wa Fizikia Sorbonne. Mwanamke wa kwanza kushinda zawadi ya Nobel mara mbili - katika Fizikia (na mumewe Pierre) na baadaye katika Kemia. Mwanamke wa kwanza kugundua elementi mbili mpya....

Niels Bohr - gwiji la Fizikia kutoka Sweden lililoweka misingi ya nguvu za mnunurisho...

Max Planck - Quanta.....

Einstein = Jiniazi la milenia ambalo liliushangaza ulimwengu mwaka 1905 kwa kuchapisha makala tatu zilizobadilisha kabisa mwelekeo wa Fizikia na kupindua utawala wa Sir Isack Newtown katika Fizikia...

Hili linatajwa kuwa ndilo kongamano lililojumuisha watu wenye akili kuliko kongamano lolote ambalo limeshawahi kutokea katika Fizikia na sayansi kwa ujumla !!!
Namuona na bwana Galilei kwa mbele mkuu
 
Weka picha ya wanafizikia wakitanzania mkuu...tupate kuwatambua....Mfano Yule Bilali yule et al...
 
18698090_467393953600713_1966451671106348426_n.jpg
Weka picha ya wanafizikia wakitanzania mkuu...tupate kuwatambua....Mfano Yule Bilali yule et al...
Huyo wa kushoto anaitwa Erasto Mpemba.

Ni mwanafizikia wa kitanzania.

Google "The Mpemba effect"
 
Duuu .... Perrin , Wien , Curie, and Poincaré. Goldschmidt, Planck , H. Rubens , Sommerfeld, Lindemann, M. de Broglie , M. Knudsen, Hasenohrl , G. Hostelet , Herzen , Jeans, E. Rutherford , Kamerlingh Onnes, A. Einstein and Langevin .
 
TULIOKUWA WATABE WA PHYSICS HATUWEZ WASAHAU MARIE CURIE NA EINSTEIN ILA SISI WATABE ZAIDI TUNAWAJUA WOTE HAO

Naanza na hao waliokaa kutokea kushoto

Irving Langmuir, Max Planck(Wale wa Planck's constant kwenye Physics), Marie Curie(Huwezi kusoma Radioactive bila kumtaja huyu na mumewe Pierre), Hendrik Lorentz, Albert Einstein(MC square), Paul Langevin, Charles-Eugene Guye, CTR Wilson, Owen Richardson

Wakati kati ni:

Peter Debye, Martin Knudsen, William Lawrence Braggn, Hendrik Anthony Kramers, Paul Dirac(Wale telecom wanamjua huyu), Arthur Compton, Louis de Broglie, Max Born, Niels Bohr.

Wanyuma ni wafuatao:

Auguste Piccard, Emile Henriot, Paul Ehrenfest, Edouard Herzen, Theophile de Donder, Erwin Schrodinger, JE Verschaffelt, Wolfgang Pauli, Werner Heisenberg, Ralph Fowler, Léon Brillouin.
 
Back
Top Bottom