sungura1980
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 1,909
- 1,225
Mchungaji alitangaza kila mtu atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake...basi watu wakaanza kutoa Mokoyo akatoa 50,000/ Baba V 30,000 Erickb52 10,000 kiwatengu 20,000 mwekundu 100,000 Kaizer 50,000 Arushaone 10,000 na wengine wengi Bishanga yeye alitoa shilingi hamsini(50) . Mchungaji akamuita akamuuliza"ina maana mkeo sio mzuri?" Bishanga akajibu ....Ukimuona UTANIRUDISHIA NA CHENJI.
Last edited by a moderator: