Unamjua Nyerere?

Unamjua Nyerere?

ng'wanankamba

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2010
Posts
346
Reaction score
120
Baba: Unamjua Nyerere?
Mtoto: Simjui
Baba: Pumbafu wewe, kuwa makini na masomo yako utafeli mitihani.
Mtoto: Baba, unamjua Hamis?
Baba: Simjui
Mtoto: Pumbafu wewe, kuwa makini na ndoa yako! Anatembea na mama.
 
Ha,ha,ha,ha,ha,ha,haaaaa.......!!!!
kweli hapo mtoto anae aisee
 
hapo ni 50 kwa 50

vuta picha dingi alivyokua
 
Back
Top Bottom