Tunguja
JF-Expert Member
- Feb 15, 2018
- 450
- 327
Mimi huwa namuona ni ma..ya tu,na ikiwa siku za nyuma nilitaka kumuoa ikashindikana basi namshukuru sana Mungu.
Inawezekana vipi mtu ana mume wake anatongozwa anakubali! Halafu anakwambia nimekukubalia wewe tu wanaume kibao nawachomolea,pullmbervoul !!hata useme nini mimi nakuona ma..ya tu,hakuna mwanaume anayependa kushea ukiona amekubali kushea na mwingine ujue anakuchukulia kama walewale maCD na hakupendi,mke wa mtu ni kipezeo tu wala hajawahi kupendwa.
Inawezekana vipi mtu ana mume wake anatongozwa anakubali! Halafu anakwambia nimekukubalia wewe tu wanaume kibao nawachomolea,pullmbervoul !!hata useme nini mimi nakuona ma..ya tu,hakuna mwanaume anayependa kushea ukiona amekubali kushea na mwingine ujue anakuchukulia kama walewale maCD na hakupendi,mke wa mtu ni kipezeo tu wala hajawahi kupendwa.