Marafiki wa Ukweli, na anapokuwa na tatizo linalohitaji ushauri hasiti kuomba kwangu ila mapenzi tena big noooooooooooooooooooooo
Ex ni nyumba ndogo nikijisikia napiga mzigo, haijalishi tuliachana vp hata kama tulishikiana visu kuna muda yataisha na mchezo utaendelea hata kama ameshafunga ndoa
Mimi siwezi kurudia match na Ex hata kwa bahat mbaya yan hata nkimuona roho haishtuki mayb kwasababu sikuwah kumpenda na hana kitu special cha kunifanya nirudIts a matter of time utakuja kurudia mechi hata baada ya miaka 10 au 20. Mwanzoni lazima hasira iwepo ila itaisha tu badae
......bado namkumbuka sana....lakini sitamani kumuona...thats it
Ex ni nyumba ndogo nikijisikia napiga mzigo, haijalishi tuliachana vp hata kama tulishikiana visu kuna muda yataisha na mchezo utaendelea hata kama ameshafunga ndoa
kwa kuwa hatukuachana kwa ugomvi, mimi namchukulia kama hamadi kibindoni! Au basi tuseme akiba haiozi! Siku ya siku umeshikwa unamkimbilia kutuliza mihasira yako, anajitumaje...., we acha tu!!
X yupi? Maana wanajaa kinoah
Habari zenu wanajamvi ni matumaini mu wazima kabisa
Nauhakika asilimia kubwa yetu humu tumepitia mahusiano kadhaa kabla ya ndoa(kwa waliooa na kuolewa) na kwa wale ambao hawako katika mahusiano sasa baada ya kukumbwa na mahasibu tofauti tofauti,na kila mtu ana mtazamo tofauti kwa hao ma EX,je wewe unamchukuliaje EX wako?Rafiki yako?Adui?
Binafsi EX hawezi kua rafiki yangu wala adui yangu yan namuweka katika group la mtu wa kawaida tukikutana barabaran ni salamu tu hakuna story zingine(kama n msaarabu lakini) kama ni wale wanaoleta maneno mbovumbovu hakika sitaki hata unisalimie wala kuniuliza kitu na hata kuntext kwa bahati mbaya sitaki kabisaaaa
Word, hata aliyekuabuse; umejifunza kitu from that maltreatment so in a way wapaswa kumshukuru kwani hautakaa uruhusu another abuse. This is my principle, halafu imagine .....unatumia energy kubwa kumchukia mtu ambaye huna uwezo hata wa kuzuia asipate Oxygen; what is the use? au hasara ni ya nani wakati yeye anadunda.....
Haters maana yake they are not over the person. Mimi hakuna hata mmoja anayenisumbua! No feelings at all![/QUO
I had a fear of commitment and/or falling in love. The result?? A string of exes. Whenever I felt love coming my way I ran. I must have been a gem because whenever we cross paths, they have something to remember from this wild, fun, outgoing chic. I do not recall an ugly incident to make me hate any of my exes. But they sure were clingy. lol