Kapyungu A
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 3,500
- 3,157
Mkuu,hili swali umekosea A.K.A umenionea kuniuliza mimi...kwamba mimi ndo mkaguzi mkuu wa nyeti za watu ama?
Mkuu,hili swali umekosea A.K.A umenionea kuniuliza mimi...kwamba mimi ndo mkaguzi mkuu wa nyeti za watu ama?
Kwema...umekuwa adimu siku hiziKama hawapo au wapo siyo
Vipi kwema lakini joanah
HahahahaUkiwa na ndevu hata ukimpokea mamsapu kubembeleza mtoto hawezi kudai nyonyo kwa sababu akipapasa anakutana na biwi la ndevu.Ila kama huna ndevu mtoto atadai ziwa kwa sababu haoni tofauti kati yako na mama yake.
Majukumu joanahKwema...umekuwa adimu siku hizi
KweliMajukumu joanah
Ila siyo adimu sana maana tunapishana sana tu humu mjengoni japo hatusituani tu mkuu.
Karibu chai
Asante,na kwako pia mkuuAhaa!!
Bhasi poa mkuu
Asubuhi Njema
acha utotoWewe hapo juu umeniovertake saa ngapi?
Nimewahi Siti au ni ndoto samahani wenye siti zao
Kwann dume lisiwe na ndevu?Kuna vitu hata visipokaa sawa inabidi muhusika akubaliane na hali yake
Mfano mwanaume asiye na ndevu...hawezi kuforce ziote
Hivi kuna mtu hana vooz?
Habari zenu wana janvi?.
Hivi Mwnaume uson usipokuwa na ndevu au sharubu walau kidogo unajichkuliaje.!!?.
Binafs nilishajarib mara kadhaa bila ya ndevu lakin nilijiona tofaut mno.
Nahsi mtoto wa kiume uso ukiwa msafi sana(bila ya ndevu) hii inakuwa imekaa vibaya..
#ni mtazamo tu.
Matumizi ya mihadarati yamewaharibu ndo maana mnjadili upupu humu!!!Ukiwa na ndevu hata ukimpokea mamsapu kubembeleza mtoto hawezi kudai nyonyo kwa sababu akipapasa anakutana na biwi la ndevu.Ila kama huna ndevu mtoto atadai ziwa kwa sababu haoni tofauti kati yako na mama yake.
Binafsi sipendi ndevu kwani sitaki kufananishwa na magaidi wa kiislam.