Doswe Dossena
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 314
- 553
Habari zenu wana janvi?.
Hivi Mwnaume uson usipokuwa na ndevu au sharubu walau kidogo unajichkuliaje.!!?.
Binafs nilishajarib mara kadhaa bila ya ndevu lakin nilijiona tofaut mno.
Nahsi mtoto wa kiume uso ukiwa msafi sana(bila ya ndevu) hii inakuwa imekaa vibaya..
#ni mtazamo tu.
Hivi Mwnaume uson usipokuwa na ndevu au sharubu walau kidogo unajichkuliaje.!!?.
Binafs nilishajarib mara kadhaa bila ya ndevu lakin nilijiona tofaut mno.
Nahsi mtoto wa kiume uso ukiwa msafi sana(bila ya ndevu) hii inakuwa imekaa vibaya..
#ni mtazamo tu.