UNALIPIA BEI GANI? DEDICATED 512kbps TTCL!

UNALIPIA BEI GANI? DEDICATED 512kbps TTCL!

Amoeba

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2009
Posts
3,288
Reaction score
793
Tujaribu kubadilishana uzoefu wakuu, kwa wale wanaotumia ISP ttcl,kwa huduma ya dedicated-specifically kwa speed ya 512mbps bei elekezi n ngapi? Pia itakuwa vizuri kama mtu mwenye habari za ndani kutoka ttcl atueleze utaratibu utumikao "kukokotoa" malipo ya huduma hizi (hasa kwa watumiaji wa kati na wadogo). Kama wewe pia n mteja wa TTCL, hasa dedicated, naomba tujuzane unanunua spidi ipi kwa bei gani, na unapata download speed ngapi!
Kuna kengere inalia kichwani!
Natanguliza shukrani.
 
Back
Top Bottom