Unalipi la kumshauri huyu kijana?

Unalipi la kumshauri huyu kijana?

BALIMI CASTLE

Member
Joined
Aug 2, 2017
Posts
33
Reaction score
47
Habari zenu wanajamvi.

Kuna kijana mmoja jirani yangu alimaliza kidato cha nne mwaka 2011.
Na matokeo yake yalikuwa kama ifuatavyo
1-CIVICS-D
2-HISTORY-D
3-KISWAHILI-C
4-ENGLISH-D
5-GEOGRAPHY-D
6-PHYSICS-C
7-BIOLOGY-B
8-CHEMISTRY-D
9-BASIC MATHEMATICS-D

Akaenda A-LEVEL na matokeo yake yakawa hivi kwa mwaka 2014

1-GENERAL STUDIES-D sasa hivi - E
2-PHYSICS-E sasa hivi - S
3-CHEMISRTY-D sasa hivi - E
4-BIOLOGY-C sasa hivi - D
5-BASIC APPLIED MATHEMATICS- C sasa hivi - D

Sasa alipomaliza kidato cha sita hakuendelea na masomo ya juu,akawa anashughulika na shughuli mbalimbali za kiuchumi kwa kuwa familia aliyotoka ni masikini walishindwa kumsaport kwa lolote lile.

Sasa hivi ana miaka 3 mtaani tangu amalize kidato cha sita,na ameweza kufanya shughuli tofauti tofauti za halali za kiuchumi na kuweza kukusanya kama milioni 5 hivi.

Lengo lake ni mwakani arudi shule akaanze kusoma clinical officer(C.O) ngazi ya cheti kwa kutumia hizo milioni 5 alizokuwa nazo.

1-Je anaweza kupata chuo cha afya kupitia NACTE?

2-Je una ushauri wowote unaoweza kumpa kuachana na huo wa kusoma?
Note: umri wake sasa hivi 26 yrs.
 
Kizuri zaidi ni kwamba kijana mwenyewe ndio wewe.

Tuachane na hilo; mimi nakushauri utafute hiyo kozi ya afya usome kwa kutumia cheti chako cha kidato cha sita, utasoma mpaka level ya diploma.

Ila kwa wakati huu jaribu kufatilia sifa zinazotakiwa ili kujua uombe chuo gani ili kukwepa ushindani maana waombaji ni wengi sana siku hizi.
 
Kizuri zaidi ni kwamba kijana mwenyewe ndio wewe.

Tuachane na hilo; mimi nakushauri utafute hiyo kozi ya afya usome kwa kutumia cheti chako cha kidato cha sita, utasoma mpaka level ya diploma.

Ila kwa wakati huu jaribu kufatilia sifa zinazotakiwa ili kujua uombe chuo gani ili kukwepa ushindani maana waombaji ni wengi sana siku hizi.
Wazo zur sana mkuu akifanya hivyo utachaguliwa ila akikurupuka atakutana nacho mpka hata amini na matokeo yake
 
Habari zenu wanajamvi.

Kuna kijana mmoja jirani yangu alimaliza kidato cha nne mwaka 2011.
Na matokeo yake yalikuwa kama ifuatavyo
1-CIVICS-D
2-HISTORY-D
3-KISWAHILI-C
4-ENGLISH-D
5-GEOGRAPHY-D
6-PHYSICS-C
7-BIOLOGY-B
8-CHEMISTRY-D
9-BASIC MATHEMATICS-D

Akaenda A-LEVEL na matokeo yake yakawa hivi kwa mwaka 2014

1-GENERAL STUDIES-D sasa hivi - E
2-PHYSICS-E sasa hivi - S
3-CHEMISRTY-D sasa hivi - E
4-BIOLOGY-C sasa hivi - D
5-BASIC APPLIED MATHEMATICS- C sasa hivi - D

Sasa alipomaliza kidato cha sita hakuendelea na masomo ya juu,akawa anashughulika na shughuli mbalimbali za kiuchumi kwa kuwa familia aliyotoka ni masikini walishindwa kumsaport kwa lolote lile.

Sasa hivi ana miaka 3 mtaani tangu amalize kidato cha sita,na ameweza kufanya shughuli tofauti tofauti za halali za kiuchumi na kuweza kukusanya kama milioni 5 hivi.

Lengo lake ni mwakani arudi shule akaanze kusoma clinical officer(C.O) ngazi ya cheti kwa kutumia hizo milioni 5 alizokuwa nazo.

1-Je anaweza kupata chuo cha afya kupitia NACTE?

2-Je una ushauri wowote unaoweza kumpa kuachana na huo wa kusoma?
Note: umri wake sasa hivi 26 yrs.
omba nafasi moja kwa moja chuoni hasa vyuo vya private.... japo uwezekano wa kukosa nafasi ni mkubwa labda ukute chuo ambacho kina upungufu wa wanafunzi wa hiyo kozi.
 
Habari zenu wanajamvi.

Kuna kijana mmoja jirani yangu alimaliza kidato cha nne mwaka 2011.
Na matokeo yake yalikuwa kama ifuatavyo
1-CIVICS-D
2-HISTORY-D
3-KISWAHILI-C
4-ENGLISH-D
5-GEOGRAPHY-D
6-PHYSICS-C
7-BIOLOGY-B
8-CHEMISTRY-D
9-BASIC MATHEMATICS-D

Akaenda A-LEVEL na matokeo yake yakawa hivi kwa mwaka 2014

1-GENERAL STUDIES-D sasa hivi - E
2-PHYSICS-E sasa hivi - S
3-CHEMISRTY-D sasa hivi - E
4-BIOLOGY-C sasa hivi - D
5-BASIC APPLIED MATHEMATICS- C sasa hivi - D

Sasa alipomaliza kidato cha sita hakuendelea na masomo ya juu,akawa anashughulika na shughuli mbalimbali za kiuchumi kwa kuwa familia aliyotoka ni masikini walishindwa kumsaport kwa lolote lile.

Sasa hivi ana miaka 3 mtaani tangu amalize kidato cha sita,na ameweza kufanya shughuli tofauti tofauti za halali za kiuchumi na kuweza kukusanya kama milioni 5 hivi.

Lengo lake ni mwakani arudi shule akaanze kusoma clinical officer(C.O) ngazi ya cheti kwa kutumia hizo milioni 5 alizokuwa nazo.

1-Je anaweza kupata chuo cha afya kupitia NACTE?

2-Je una ushauri wowote unaoweza kumpa kuachana na huo wa kusoma?
Note: umri wake sasa hivi 26 yrs.
kwan hapo chuo c anapata . Tafuta koz nzur kapige degree . usiangalie nyuma songa mbele
 
Aendelee kukusanya pesa zijae tu,
 
Back
Top Bottom