Central Zone
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 244
- 375
hahhahaha daaah aiseeee
Ni uchafu mtupu?Hiv kwanin hii michezo ya kuigiza,..au hata ile ya enzi zile kina bishanga,au ile ya kina kibakuli ilikuaga mitamu sana kuliko hiz bongo muv za skuhiz,hiz bongo muv ni uchaf mtup,hakuna kitu,sjawai ona acting za ajab kama bongo muv
Kupata kipato haiwezi kuwa kigezo cha kuhalalisha uchafu, bongo movie ni uchafu, uchafu haswaa, ever!!Ni uchafu mtupu?
We huo usafi wako uko wapi?
Sio vyema kuita kazi za wenzio uchafu.
Yawezekana kwako ni uchafu kweli, ila kwao ni kazi inayowapatia kipato na kuendesha maisha yao na Familia zao.
yaan siku ya mchezo unaoga mapemaa....maana hukawii kuambiwa ukaoge katikati ya mchezo

Tunasubiri hizo zenu safi.Kupata kipato haiwezi kuwa kigezo cha kuhalalisha uchafu, bongo movie ni uchafu, uchafu haswaa, ever!!
