unalijua hili
gari hizi si kwamba ziko garage la hasha ziko kwenye parking ya serikali tena wizarani
lakini kama ujui gari hizi ziko kwenye hesabu za mafuta kila siku pamoja na kuonyesha hali yake ya afya aifai hata kufika ICU
Mpwa kila siku hayo magari yanawekwa barabarani kinadharia kama hilo la kushoto inajulikana liko tanga sasa hivi kurudi dar na mafuta yameshalipiwa...samahani kama ntawaguza baba zenu jamani ni kodi zetu zinafanya tuhangaike na wazazi wennu hivi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.