Unakumbuka wapi katika picha hii.

Nakumbuka kigonsera sec school
Mzee hiyo inaitwa kaigo banaa. Mie nilikuwa hapo 1984-1987. Na tuna group letu la wana kaigo na liko strong sana kwenye kujumuika pamoja kwenye shida na raha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…