Unakumbuka nini?

Unakumbuka nini?

Camilo Cienfuegos

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2015
Posts
19,296
Reaction score
68,375
tengeru.jpg
1.jpg
 
Nimekumbuka watu wenye tabia ya kudhulumu hadi kuona kama kudhulumu ni haki yao waliyopewa na Mungu kwamba watu wa aina hiyo hawana haya!!

Mwenyewe umeona kama ni "Kaunta atak"?
 
Walah yule mchunga ngo'mbe aliwasumbua wanajiofanya wao ni watoto wa mjini, eti kisa vikao vyao wanafanyia katikati ya mji wa dar.wakajiona ni wajanja wa kilakitu.Hawakujua mteseka juani ndo mbunifu wa mbinu za maangamizi,CCM ilikua tunawaaga msimu huu.
 
Back
Top Bottom