Yaah! Nakumbuka hilo swala la utajiri. Wa makamu walikuwa wanatuambia "msimdharau huyu mzee, ana nyumba kibao". Si unajuwa mentality aliyotupa Mchonga!!!! Nyumba ndiyo mpango mzima. Basi mtu unapata inspiration flani hivi mixer flag kwa Majambo, unatamani na wewe uuze karanga upate nyumba. Those days bwana!!!! Those days watoto wengi walikuwa na matovu makubwa. Lakini sikuhizi siwaoni watoto wenye vitovu vikubwa. Halafu Majambo alikuwa story ya jiji, coz kipindi kile uko kwenye Ikarus (mtu ataulizi andiyo nini hiyo) kitu nyomi, kuchungulia dirishani unamuona Majambo yule anakula Morogoro road. Probably coverage yake ilikuwa si ya kitoto. Lakini nashangaa watu kibao humu kama vile kitu cha mkunga....halafu reli ya kati......hahahahaaa!!!!