UNAKUMBUKA: A wreath for Father Mayor

UNAKUMBUKA: A wreath for Father Mayor

MoroGent

Senior Member
Joined
Jan 10, 2018
Posts
146
Reaction score
460
Salaam sana Wanajukwaa,
Unakumbuka hadithi ya kitabu cha "A Wreath for Father Mayer:😀😀

Kitabu hiki ni hadithi fupi iliyoandikwa na S. N. Ndunguru (aliandika Stori maarufu ya SAFARI YA GARI MOSHI 😀 na kutafsiri Rosa Mistika cha Shabaan Robert).
Kiujumla kitabu hiki cha hadithi fupi Kinaelezea maisha ya Padre Mayer, mmisionari wa Kijerumani aliyehudumu Tanzania kwa miaka mingi, hasa kipindi cha ukoloni na baada ya uhuru. Padre Mayer alikuwa mtu mnyenyekevu, mwenye kujitolea sana kwa watu wa kijijini – aliwasaidia kielimu, kiafya, na kiroho.

Wakati wa maisha yake, alipendwa na kuheshimiwa sana na wanakijiji, lakini pia alikumbana na changamoto za kikoloni, mabadiliko ya kisiasa, na mgongano wa tamaduni. Alijitahidi kuishi kwa haki, upendo na huruma licha ya mazingira magumu.

Baada ya kufariki kwake, wanakijiji walikusanyika kumpa heshima ya mwisho, wakitambua mchango wake mkubwa. “Wreath” (taji la maua) linawakilisha heshima, kumbukumbu, na shukrani kwa maisha yake ya kujitolea.

Ni hadithi ya maadili, upendo kwa binadamu, na urithi wa wema unaoishi hata baada ya mtu kuondoka.

Nawasilisha,
Je na wew huwa unakumbuka kusoma vitabu vya zamani ukajikumbushia?
 
Kitu nikishakisoma au kuangalia sipendi tena kurudia hasa movies..labda nyimbo na biblia na tena biblia vitabu vichache
 
Rosa Mistika ni utunzi wa E Kezilihabi na sio Shaaban Roberts
 
Kitabu hiki tumesoma high school katika somo la Literature in English. Nakumbuka pia novel ya His Excelence the head of state by Danny S Bafo ilikuwa my favorite in story nzuri mno.
 
Mimi nakumbuka kitabu kiitwacho " Is it possible ?"
 
Kuna jamaa aliandika Mayor kwenye gari,
Kipindi cha Magu😁.
E bana eeh, ule mpwito mpwito aliopata mpaka leo
Anaandika utumbo tu
 
Salaam sana Wanajukwaa,
Unakumbuka hadithi ya kitabu cha "A Wreath for Father Mayer:😀😀

Kitabu hiki ni hadithi fupi iliyoandikwa na S. N. Ndunguru (aliandika Stori maarufu ya SAFARI YA GARI MOSHI 😀 na kutafsiri Rosa Mistika cha Shabaan Robert).
Kiujumla kitabu hiki cha hadithi fupi Kinaelezea maisha ya Padre Mayer, mmisionari wa Kijerumani aliyehudumu Tanzania kwa miaka mingi, hasa kipindi cha ukoloni na baada ya uhuru. Padre Mayer alikuwa mtu mnyenyekevu, mwenye kujitolea sana kwa watu wa kijijini – aliwasaidia kielimu, kiafya, na kiroho.

Wakati wa maisha yake, alipendwa na kuheshimiwa sana na wanakijiji, lakini pia alikumbana na changamoto za kikoloni, mabadiliko ya kisiasa, na mgongano wa tamaduni. Alijitahidi kuishi kwa haki, upendo na huruma licha ya mazingira magumu.

Baada ya kufariki kwake, wanakijiji walikusanyika kumpa heshima ya mwisho, wakitambua mchango wake mkubwa. “Wreath” (taji la maua) linawakilisha heshima, kumbukumbu, na shukrani kwa maisha yake ya kujitolea.

Ni hadithi ya maadili, upendo kwa binadamu, na urithi wa wema unaoishi hata baada ya mtu kuondoka.

Nawasilisha,
Je na wew huwa unakumbuka kusoma vitabu vya zamani ukajikumbushia?
Ilikua hadithi nzur sana
 
Salaam sana Wanajukwaa,
Unakumbuka hadithi ya kitabu cha "A Wreath for Father Mayer:😀😀

Kitabu hiki ni hadithi fupi iliyoandikwa na S. N. Ndunguru (aliandika Stori maarufu ya SAFARI YA GARI MOSHI 😀 na kutafsiri Rosa Mistika cha Shabaan Robert).
Kiujumla kitabu hiki cha hadithi fupi Kinaelezea maisha ya Padre Mayer, mmisionari wa Kijerumani aliyehudumu Tanzania kwa miaka mingi, hasa kipindi cha ukoloni na baada ya uhuru. Padre Mayer alikuwa mtu mnyenyekevu, mwenye kujitolea sana kwa watu wa kijijini – aliwasaidia kielimu, kiafya, na kiroho.

Wakati wa maisha yake, alipendwa na kuheshimiwa sana na wanakijiji, lakini pia alikumbana na changamoto za kikoloni, mabadiliko ya kisiasa, na mgongano wa tamaduni. Alijitahidi kuishi kwa haki, upendo na huruma licha ya mazingira magumu.

Baada ya kufariki kwake, wanakijiji walikusanyika kumpa heshima ya mwisho, wakitambua mchango wake mkubwa. “Wreath” (taji la maua) linawakilisha heshima, kumbukumbu, na shukrani kwa maisha yake ya kujitolea.

Ni hadithi ya maadili, upendo kwa binadamu, na urithi wa wema unaoishi hata baada ya mtu kuondoka.

Nawasilisha,
Je na wew huwa unakumbuka kusoma vitabu vya zamani ukajikumbushia?
S.N.Ndunguru ni moja ya waandishi bora wa kitanzania kwenye fasihi ...na ni kati ya wachache sana walioandika kazi zao za fasihi kwa lugha ya kiingereza.
Riwaya zake nyingine ni "Divine Providence " pamoja na "Spared"
.Niliwahi kusikia kuwa alishafariki sijui kama ni kweli au la..
 
Rose Mistika_Euphrase Kezilahabi.
Jagina wa Kiswahili
 
Rosa Mistika sio Shaban Robert usitudanganye
Ni Euphrase Kezilahabi
Nduguru ni mwandishi mzuri mno
Nilipenda riwaya yake ya divine providence
Ile niliisoma hata baada ya kufutwa kwenye literature shuleni.
 
Hiki ni moja ya kitabu chenye story nzuri kweli kweli. Ukiangalia upepelezi wa mauaji ya Kalistus ulivyofanyika, jinsi Bwana Pima alivyothibitika ndiye aliyenunua dawa zilizoibiwa, ukiangalia kisa cha Father Denis Moyo alivyoponea chupuchupu kufanywa teja. Moja ya vitabu vyangu bora kabisa, nakisoma mpaka leo.
 
Maeneo yote yaliyotajwa na kitabu hiki kwa Tanzania nimeshatembelea poteee..

moja kati ya vitabu vilivyonipa amsha amsha kikifuatiwa na "THE PEARL"
 
Salaam sana Wanajukwaa,
Unakumbuka hadithi ya kitabu cha "A Wreath for Father Mayer:😀😀

Kitabu hiki ni hadithi fupi iliyoandikwa na S. N. Ndunguru (aliandika Stori maarufu ya SAFARI YA GARI MOSHI 😀 na kutafsiri Rosa Mistika cha Shabaan Robert).
Kiujumla kitabu hiki cha hadithi fupi Kinaelezea maisha ya Padre Mayer, mmisionari wa Kijerumani aliyehudumu Tanzania kwa miaka mingi, hasa kipindi cha ukoloni na baada ya uhuru. Padre Mayer alikuwa mtu mnyenyekevu, mwenye kujitolea sana kwa watu wa kijijini – aliwasaidia kielimu, kiafya, na kiroho.

Wakati wa maisha yake, alipendwa na kuheshimiwa sana na wanakijiji, lakini pia alikumbana na changamoto za kikoloni, mabadiliko ya kisiasa, na mgongano wa tamaduni. Alijitahidi kuishi kwa haki, upendo na huruma licha ya mazingira magumu.

Baada ya kufariki kwake, wanakijiji walikusanyika kumpa heshima ya mwisho, wakitambua mchango wake mkubwa. “Wreath” (taji la maua) linawakilisha heshima, kumbukumbu, na shukrani kwa maisha yake ya kujitolea.

Ni hadithi ya maadili, upendo kwa binadamu, na urithi wa wema unaoishi hata baada ya mtu kuondoka.

Nawasilisha,
Je na wew huwa unakumbuka kusoma vitabu vya zamani ukajikumbushia?
Rosa Mistika na Shaaban Robert wapi na wapi?

Rosa Mistika iliandikwa na Profesa Euphrase Kezilahabi ( Apumzike kwa amani )
 
3541753.jpg
Kuna hiki pia!
 
Back
Top Bottom