Ndo mambo ya kuingia msituni yanaanzaga hivi hivi .....
baadaye mtataka kuunda taifa jipya.......
baada ya hapo mtataka rais na serikali yenu na katiba yenu.....baadaye kinanuka .............
Ndio. Kama unajua Ikiana- Angaa
Putuma - Putuma
Mamasipo- Mamasisi
Tuteremke
asas ewew nambo naji kola pivi ?? naukaa awkrotom?Wadau mpaka sasa tupo kumi. Ila bado kuna kuto elewana juu ya jina la kabila letu
Baadhi ya maneno ya kabila letu ni hayo chini
View attachment 86768
haey, krahs bukari bilaka pyaji...