mjizu123
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 349
- 370
UNAJUA WAZUNGU WANA AKILI SANA DADEKI
just imagene natoa elimu ya historia ya mtu mweusi alafu mtu mweusi ndo anakua wa kwanza kukataa na kujidharau na kusema mweusi hajui chochote zaidi ya kurogana wacha nikuambie Wazungu walicheza na falsafa ya TAKE THEIR BRAIN LEAVE THEIR BODI
.
Yani walichokua wanafanya wazungu ni kumtandika BABA MBELE YA MKE NA WATOTO WAKE alafu kilicho fata hapo ni familia kumzalau baba na mke alianza kumuona mzungu ndo bwana mwenyewe ndivo wazungu walivyo wafanyia babu zetu.
Tatizo letu tunasoma sana habari za mapenzi kuriko historia yetu.
Africa tulikua vichwa broo acha ubishi mtu tajiri duniani kwa wakati woote ni mtu mweusi bwana MANSA MUSSA
ACHA UBISHI WA KIJINGA ETI UNAAMBIWA ZIWA VICTORIA LIMEGUNDULIWA NA MALKIA WA UK WAKATI BABU ZAKO NDO WALIKUA WANAFANYA SHUGHURI ZA UVUVI HAPO AU UNAAMBIWA MRIMA KIRIMANJARO UMEGUNDULIWA NA WAZUNGU WAKATI BABU ZAKO NDO WALIKUA WANAISHI HAPO NA WEWE ULIVYO BOGAZ UNAKUBALI
BROO NYIE MNAO ISHI DASRAMU MNAJUA KUA KUNA KITU KINAITWA MTUNGI YANI HAYO MAFRJ MNAYO TUMIA NI MABORESHO YA MTUNGI MZEE LAITI MNGEJUA RADHA YA MAJI YA MTUNGINI WAL MSINGEJIZALAU.
Mgunduzi wa computer ni mweusi mgunduzi wa chuma ni mweusi..mgunduzi wa madini ni mweusi na tulianza kuyatumia kama urembo kabla yao mgunduzi wa kioo ni mweusi mgunduzi wa bara la malekani ni mweusi
HAYA TUJE ZAMA ZETU
mcheza teniss bora ni mweusi.
Mwanamziki bora wa mda wote ni mweusi M. Jackson
Hiphop bora kwa mweusi 2pac
Basketball tuna jordan
Tuna ronadinho tuna pele
Yani tupo kibaoo.
Alafu bado kuna mbuzi inasema mtu mweusi si lolote si chochote? Tuache kujizalau jamani.

just imagene natoa elimu ya historia ya mtu mweusi alafu mtu mweusi ndo anakua wa kwanza kukataa na kujidharau na kusema mweusi hajui chochote zaidi ya kurogana wacha nikuambie Wazungu walicheza na falsafa ya TAKE THEIR BRAIN LEAVE THEIR BODI
.Yani walichokua wanafanya wazungu ni kumtandika BABA MBELE YA MKE NA WATOTO WAKE alafu kilicho fata hapo ni familia kumzalau baba na mke alianza kumuona mzungu ndo bwana mwenyewe ndivo wazungu walivyo wafanyia babu zetu.
Tatizo letu tunasoma sana habari za mapenzi kuriko historia yetu.
Africa tulikua vichwa broo acha ubishi mtu tajiri duniani kwa wakati woote ni mtu mweusi bwana MANSA MUSSA
ACHA UBISHI WA KIJINGA ETI UNAAMBIWA ZIWA VICTORIA LIMEGUNDULIWA NA MALKIA WA UK WAKATI BABU ZAKO NDO WALIKUA WANAFANYA SHUGHURI ZA UVUVI HAPO AU UNAAMBIWA MRIMA KIRIMANJARO UMEGUNDULIWA NA WAZUNGU WAKATI BABU ZAKO NDO WALIKUA WANAISHI HAPO NA WEWE ULIVYO BOGAZ UNAKUBALI
BROO NYIE MNAO ISHI DASRAMU MNAJUA KUA KUNA KITU KINAITWA MTUNGI YANI HAYO MAFRJ MNAYO TUMIA NI MABORESHO YA MTUNGI MZEE LAITI MNGEJUA RADHA YA MAJI YA MTUNGINI WAL MSINGEJIZALAU.
Mgunduzi wa computer ni mweusi mgunduzi wa chuma ni mweusi..mgunduzi wa madini ni mweusi na tulianza kuyatumia kama urembo kabla yao mgunduzi wa kioo ni mweusi mgunduzi wa bara la malekani ni mweusi
HAYA TUJE ZAMA ZETU
mcheza teniss bora ni mweusi.
Mwanamziki bora wa mda wote ni mweusi M. Jackson
Hiphop bora kwa mweusi 2pac
Basketball tuna jordan
Tuna ronadinho tuna pele
Yani tupo kibaoo.
Alafu bado kuna mbuzi inasema mtu mweusi si lolote si chochote? Tuache kujizalau jamani.
