Unajua nini kuhusu moto?

KACHINJA

JF-Expert Member
Dec 26, 2015
1,263
869
Binafsi naamini kuwa moto una siri kubwa kiafya, hii ni kwa sababu mababu walioishi miaka mingi sana walikuwa wanaota moto asubuhi na jioni tena pengine hata usiku kucha kwa kuweka chini ya kitanda.

Lakini pia ukiangalia maisha ya hawa wezetu walioendelea (wazungu) wanapenda sana kuweka sehemu za kuota moto kwenye nyumba zao pindi wanapopumzika.

Ni mawazo yangu tu, sijui wewe unalichukuliaje suala hili?
 
Katika vitu alivyoviumba Mwenyezi Mungu (kwa wale tunaoamini uumbaji)

Hakuna kitu chenye maajabu na cha muhimu kama "MAJI" na "CHUMVI"

Maji ni kimiminika kisicho na rangi

Maji yanapatikana hewani,ardhini na udongoni

Nikipata muda nitakuelezea vyote na maajabu ya chumvi yaliyojificha.
 
Katika vitu alivyoviumba Mwenyezi Mungu (kwa wale tunaoamini uumbaji)

Hakuna kitu chenye maajabu na cha muhimu kama "MAJI" na "CHUMVI"

Maji ni kimiminika kisicho na rangi

Maji yanapatikana hewani,ardhini na udongoni

Nikipata muda nitakuelezea vyote na maajabu ya chumvi yaliyojificha.
Ukitoa hilo darasa la chumvi na maji nitag mkuu
 
Moto pia unahusishwa kama alama ya Ushirikina.

Na ndio maana usishangae unapoona unatumika kama logo kwenye baadhi ya makampuni.
 
Wagiriki wa zamani considered fire kama moja ya major elements katika ulimwengu, pamoja na maji, ardhi and hewa. huu muunganiko makes intuitive sense: unaweza kuhisi moto, kama ambavyo unaweza kuhisi ardhi, maji na hewa. pia unaweza kuuona na kuunusa, na pia unaweza kuuhamisha kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine.

lakini moto ni kitu tofauti kabisa. ardhi, maji na hewa are all forms of matter -- hivi vimetengezwa na mamilioni ya atoms yaliyokusanyika pamoja. ila moto hauna sifa ya kuwa matter kabisa. It's a visible, tangible side effect of matter changing form -- it's one part of a chemical reaction.

Sasa tuone kidogo kwanini mababu na watu wengi hupenda kukaa karibu na moto

1. Mababu zetu wengi walitumia moto kuwaweka wanyama wakali mbali nao (wanyama wengi huogopa moto)

2. walitumia moto pia kufukuzia mbu!

3.walitumia moto kuwafanya kubond (familia kukaa pamoja na kuongea mambo mbalimbali! bahati mbaya sikuhizi tunatumia zaidi televisheni ambayo badala ya kubond huharibu zaidi)

3. kukaa karibu na moto unaowaka kwa kutoa flames hufanya our mapigo ya moyo to drop and leaves us feeling more at ease.

kwa ufupi
 
Wagiriki wa zamani considered fire kama moja ya major elements katika ulimwengu, pamoja na maji, ardhi and hewa. huu muunganiko makes intuitive sense: unaweza kuhisi moto, kama ambavyo unaweza kuhisi ardhi, maji na hewa. pia unaweza kuuona na kuunusa, na pia unaweza kuuhamisha kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine.

lakini moto ni kitu tofauti kabisa. ardhi, maji na hewa are all forms of matter -- hivi vimetengezwa na mamilioni ya atoms yaliyokusanyika pamoja. ila moto hauna sifa ya kuwa matter kabisa. It's a visible, tangible side effect of matter changing form -- it's one part of a chemical reaction.

Sasa tuone kidogo kwanini mababu na watu wengi hupenda kukaa karibu na moto

1. Mababu zetu wengi walitumia moto kuwaweka wanyama wakali mbali nao (wanyama wengi huogopa moto)

2. walitumia moto pia kufukuzia mbu!

3.walitumia moto kuwafanya kubond (familia kukaa pamoja na kuongea mambo mbalimbali! bahati mbaya sikuhizi tunatumia zaidi televisheni ambayo badala ya kubond huharibu zaidi)

3. kukaa karibu na moto unaowaka kwa kutoa flames hufanya our mapigo ya moyo to drop and leaves us feeling more at ease.

kwa ufupi
Nimejifunza kitu asante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom