Dalili sio kitu halisi
Unaweza kudhani unaona dalili za kupendwa kumbe unajidanganya mwenyewe
Unaweza kuona dada unakuchekea ukadhani anakupenda kumbe kila akikuona anakuwa anamkumbuka mwanae jinsi anavyokuwa na uso kama wako anapokuwa na njaa!!!!!!!!