Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,939
- 61,733
Mie najivunia kuwa mwanaume na namshukuru Mungu kwa kuniumba mwanaume;je wewe unajivunia jinsia yako?
ha ha ha haHii nayo ni thread tayari? Ooooh! Nimekumbuka kumbe Shule zimefungwa!
ha ha ha ha ha haSana, hasa nikikumbuka zile nyakati nawatembezea likamba wanatoa miguno ya haja na kuweweseka na kuniheshimu. Lakini zaidi nikidaiwa mahitaji familia na kupambana kuprovide kwaajili ya familia hapo navimba hatareee
Naona unaanzisha thread za kipumbavu tuuMie najivunia kuwa mwanaume na namshukuru Mungu kwa kuniumba mwanaume;je wewe unajivunia jinsia yako?
Ha ha ha ha nacheka tu huku napata 'wine', huku tunaondoa stress mkuuNaona unaanzisha thread za kipumbavu tuu
Huna kaz kijana
Kunywa maji barid Ulale
Ok SawaHa ha ha ha nacheka tu huku napata 'wine', huku tunaondoa stress mkuu
Mwambie mzee uanze tuition.Mie najivunia kuwa mwanaume na namshukuru Mungu kwa kuniumba mwanaume;je wewe unajivunia jinsia yako?
ha ha ha wanaojikataa utawagundua tu,ndio maana baadhi ya wanaume wanataka kuwa wanawakeThread mbovu ambayo sijapata kuishuhudia hata nchi jirani...,
ha ha ha ha mimi mwenyewe ni mzeeMwambie mzee uanze tuition.
ha ha ha kuna mtu mmoja huko ulimwenguni aliwashtaki wazazi wake kwa nini umenizaa nikiwa hivi.....najivunia aisee ingawa natamanigi nipewe nafasi niwe me ili nijue utamu wa kukojoa wanajiskiaje
Duuuuihnajivunia aisee ingawa natamanigi nipewe nafasi niwe me ili nijue utamu wa kukojoa wanajiskiaje
Ntaanzaje kujisifia kwa mdomo mtoto wa kiume wakati dushe langu linafanya ivo kila asubuhiha ha ha wanaojikataa utawagundua tu,ndio maana baadhi ya wanaume wanataka kuwa wanawake
ha ha ha haNtaanzaje kujisifia kwa mdomo mtoto wa kiume wakati dushe langu linafanya ivo kila asubuhi
Wakujisifia na kujivunia ni mtoto wa kike maana hana kinachomjulisha jinsia yake kama ipo active
ha ha ha kuna mtu mmoja huko ulimwenguni aliwashtaki wazazi wake kwa nini umenizaa nikiwa hivi.....
Duuuuih
😂😂😂😂😂Hii nayo ni thread tayari? Ooooh! Nimekumbuka kumbe Shule zimefungwa!