Unajidanganya uko pekeako kumbe mpo wengi

Unajidanganya uko pekeako kumbe mpo wengi

Watery

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
2,729
Reaction score
3,498
Wanawake wa skuizi wako vizuri kutupanga sie wanaume kuriko ata tunavyowapanga

Kama mwez umepita nimeona dem mzr na mzee flan hv
Kumfata dem kumbe yuko na yule mzee bna
Mzee ana kama miaka 50 dem ana kama 24 na ana shep nzr sana kutokana na alivyovaa
Kumfata dem akanambia yuko na mpenz wake kumbe ndo yule mzee
Mzee akafura nikaongea na dem kidogo nikasepa
Siku nyingine naenda pale yule muuza chips akasema mzee alinitukana sana nilivyoondoka

Juzjuz nmekutana na dem akanichekea nkamfata tumeongea kuondoka akaniomba namba ya cm nkachukua yake nikambip
Cha kushangaza dem anamkana yule mzee, yaan ni kama kaniona mi taira flan hv kama punguani flqn nisiejielewa
Mara ooohhh yule mzee ananitaka, mara kanisaidia mengi sana ila sijamkubalia na sijamvulia chupi
Wengine wengi nakutana nao wanasema wako na wapenz ila wananikubalia

Mwingine leo nae kakuhali uku yuko na mpenz
So usijidanganye kwa kupotez resources zako
Nenda kwa mschana ukijua unachofata na kukipata
Kama unampa mimba fresh
Kama unataka kwa sho off sawa
Kama unataka kwa sex kwa mdamda
Ila usijidanganye utakuwa mwenyewe
IMG_0874.JPG
IMG_0875.JPG
IMG_0876.JPG
IMG_0877.JPG
 
Kwa mazingira ya chuo,ana mahitaji mengi na ni vigumu mmoja kumkamilishia,ndio maana ana wapanga.
 
Kwanini umenikosesha raha asubuh yote hii, kuna kidemu changu kila wikend kwao umeme unakatika na simu zote zinazima kwa kufuatana ila sababu na kienjoy sina haja ya kwenda deep.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio wanawake tu,hata wanaume hawatulii na mmoja

Mzee wa miaka 50 lazima atakuwa ameoa ila bado anachepuka

hapa nimwendo wa kugegegdana tuu. kutulia na mtu mmja utaumia tuu
 
Back
Top Bottom