Funguka basi kiongozi kuhusiana na mambo ya maslahi katika nafasi tajwa ili nipate picha ya kilichoko mbele yangu..nashukuru
Ethics za kazi haziniruhusu kufanya hivyo. Nadhani wewe unajua unachokitaka au hauna kazi kabisa kwa sasa.
hamna kitu...mabazazi tu haya PACT we wana HR manager ana miaka 72 very old man.....ana mawazo mgando sanaaaaa...
Mdau sangarara hayo ndo maneno nliyotaka kujua...kama una experience means unaweza kuwapiga 2.5-3m? au
Naomba kuuliza swali wanajamii mnaochangia humu, ni watu wenye sifa gani PACT wanaajiri kama programm officers,mie nina BBA nilijaribu kuomba nafasi za Mtwara naona kimya hadi leo, please kwa mwenye uelewa anijuze.
Exactly, na hiyo ndio the best way ya kuapply kazi kwenye dream company yako, send the letter before hand.Ndg sangarara me nauliza hivi hakuna uwezekano wa ku2ma application letter even if hawajatangaza nafasi?Je wanaweza ijali bdae chance zikiwepo?Na naweza wa2miaje!Help me for dat.
Yule mama mwenye chongo bado yupo? Duh roho mbaya sana yule mama....nasikia ni dada wa B. Nyoni....watu kadhaa walimkimbia hapo
Anarohombaya hayupo yuko world Education Arusha. Anaendeleza ji roho lake baya huko.