JMF
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 1,735
- 2,686
Nduguyangu amekwama kutoa mzigo wake bandarini. Anahitaji mkopo wa dharura wa 4m kwa riba watakayokubalian na mkopeshaji. Dhamana aliyonayo ni kiwanja. Kina ukubwa wa 450 SQM, ni cha biasharara/makazi. Alikinunua mwaka 2013 serikalini kwa 4m na kina hati.
Kwa anayewezakumsaidia naomba tuwasiliane ni muunganishe. Ni mkopo wa mwezi mmoja tuu. Kipo kigamboni.
NB: Kiwanja kipo vizuri sana, karibu na ofisi za halmashauri ya wilaya ya kigamboni, mwaka jana lipewa ofa ya 10m akakataa kuuza. Alitaka 15 kwani ndo bei ya viwanja maeneo hayo na kipo barabarani.
Kwa anayewezakumsaidia naomba tuwasiliane ni muunganishe. Ni mkopo wa mwezi mmoja tuu. Kipo kigamboni.
NB: Kiwanja kipo vizuri sana, karibu na ofisi za halmashauri ya wilaya ya kigamboni, mwaka jana lipewa ofa ya 10m akakataa kuuza. Alitaka 15 kwani ndo bei ya viwanja maeneo hayo na kipo barabarani.