Ni za halali au umepiga watu roba?Yeyote anaehitaji simu used ya aina yeyote ile naomba anitafute kw namba 0717340502 tufanye biashara
kwahiyo tutakuwa tunasubiri mpaka uletewe ndiyo utuuzie? na kama unazo nyingi weka picha na bei zake hapaCjawahi kupiga mtu roba,huwa naletewa cm za mtumba na ndugu ndo nauza na wkt mwngne mtu mtaani maisha yakimshinda ananiuzia na mm huuza npate riziki
Mkuu Nina bajeti ya 50000 utanipa cm gani????Yeyote anaehitaji simu used ya aina yeyote ile naomba anitafute kw namba 0717340502 tufanye biashara
swali tamu.Mkuu Nina bajeti ya 50000 utanipa cm gani????
Natafuta alichojb hapa ILA sion!!kwahiyo tutakuwa tunasubiri mpaka uletewe ndiyo utuuzie? na kama unazo nyingi weka picha na bei zake hapa
Nataka Nokia 5800Yeyote anaehitaji simu used ya aina yeyote ile naomba anitafute kw namba 0717340502 tufanye biashara