nkakisali2
Senior Member
- Jun 9, 2022
- 108
- 248
Habari JF!
Mimi ni Binti nimehitimu Bachelor of Accountancy ninauzoefu wa zaidi ya miaka mitatu kama muhasibu na ninaweza kufanya pia Kazi zingine kama marketing.
Kwa kampuni wanayohitaji muhasibu mzuri nipo hapa na kama Kuna anaweza kunisaidia kupata kazi nitashukuru na sitamuangusha nipo Dar es salaam Asante.
Mimi ni Binti nimehitimu Bachelor of Accountancy ninauzoefu wa zaidi ya miaka mitatu kama muhasibu na ninaweza kufanya pia Kazi zingine kama marketing.
Kwa kampuni wanayohitaji muhasibu mzuri nipo hapa na kama Kuna anaweza kunisaidia kupata kazi nitashukuru na sitamuangusha nipo Dar es salaam Asante.