Unahitaji Muhasibu Mzuri?

Unahitaji Muhasibu Mzuri?

nkakisali2

Senior Member
Joined
Jun 9, 2022
Posts
108
Reaction score
248
Habari JF!

Mimi ni Binti nimehitimu Bachelor of Accountancy ninauzoefu wa zaidi ya miaka mitatu kama muhasibu na ninaweza kufanya pia Kazi zingine kama marketing.

Kwa kampuni wanayohitaji muhasibu mzuri nipo hapa na kama Kuna anaweza kunisaidia kupata kazi nitashukuru na sitamuangusha nipo Dar es salaam Asante.
 
Habari JF!

Mimi ni Binti nimehitimu Bachelor of Accountancy ninauzoefu wa zaidi ya miaka mitatu kama muhasibu na ninaweza kufanya pia Kazi zingine kama marketing.

Kwa kampuni wanayohitaji muhasibu mzuri nipo hapa na kama Kuna anaweza kunisaidia kupata kazi nitashukuru na sitamuangusha nipo Dar es salaam Asante.
Unaijua Tally vizuri?
 
Habari JF!

Mimi ni Binti nimehitimu Bachelor of Accountancy ninauzoefu wa zaidi ya miaka mitatu kama muhasibu na ninaweza kufanya pia Kazi zingine kama marketing.

Kwa kampuni wanayohitaji muhasibu mzuri nipo hapa na kama Kuna anaweza kunisaidia kupata kazi nitashukuru na sitamuangusha nipo Dar es salaam Asante.
Usiache kuomba utumishi
 
Habari JF!

Mimi ni Binti nimehitimu Bachelor of Accountancy ninauzoefu wa zaidi ya miaka mitatu kama muhasibu na ninaweza kufanya pia Kazi zingine kama marketing.

Kwa kampuni wanayohitaji muhasibu mzuri nipo hapa na kama Kuna anaweza kunisaidia kupata kazi nitashukuru na sitamuangusha nipo Dar es salaam Asante.
Sawa wewe ni binti,,
 
Back
Top Bottom