Unahisi nini kinafanya wanadamu wasiishi kwa amani?

Unahisi nini kinafanya wanadamu wasiishi kwa amani?

Unahisi nini kinachostopisha wanadamu wasiishi kwa amani?


  • Total voters
    9
  • Poll closed .
Sasampaaa!
6759D053-729E-441B-BE71-080C55C3FA79.jpeg
 
Tunadanganywa na nani? Tupe ushahidi, na umefanya kitu gani cha ajabu kutuzidi mpaka utuonee huruma😏
Mnaambiwa Kuna mungu lakini kiuhalisia hayupo.

Mnatoa sadaka zinaliwa na wachungaji na wazee wa kanisa, Mimi sitoi pesa zangu kwa wahuni nalia bata.
 
Unahisi nini kinachostopisha wanadamu wasiishi kwa amani?
Siasa ni mwamvuli tu, si chanzo wala kisababishi. Inatumika kuvipa uhalali na kufichia vyanzo halisi. Wasiojielewa huaminishwa kuwa maslahi yao yatashughulikiwa na kufanikishwa nyakati zote.

Visababishi vikuu ni: (1) tamaa ya kumiliki na kudhibiti mali na rasilimali, na (2) Kutawala na kudhibiti binadamu wenzao.

Dini, imani, itikadi, ukabila, ukanda, n.k. ni mikakati ya kupumbaza wasiojielewa ili waibiwe na kutumikishwa na wajanja. Wasiojielewa pia hutumika kupigana na kuangamizana kwa maslahi ya wajanja.
 
Back
Top Bottom