ngoja mke wangu akusikie..utamweleza kuwa umenijuaje..
Haezi kupita njia hii wala
nitamwambia umesahau ya mwaka47? Af nakutafuta ka nini..
Hahahahahha sawa bhana
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Hivi jiran kiwatengu umesharud ile safar yako.
hapana nimekutana na 'Valentina' ananichelewesha tu hapa..
Hee mwambie uone kama na mimi sijaibua yako.
hahahahaaa ndomana nakumiss jukwaani best, yangu tena yapi hayo? Unanitishia popote nitakapomwona shem namwbia hadi ubaki njia kuu.
Washawasha umenipatia kabisa sema huyu a.rahabu anabisha tu
charminglady atakuwa maji ya kunde kiuno nyigu kota la kufa mtu
Bado anasoma na ni mtu wa madisiko sana masai dada huyu ni mjasiria mali hajaolewa lakini anatamani sana maisha hayo
Hapendi mwanaume asiyekuwa na kajina jina na pesa anapenda kuvaa vitenge sana ICHANA huyu ni mtu mzima kati miaka 28 mpaka 30 ni mtulivu kimwonekano ila anapenda sana ngono na umbea wa vibarazani