Herbalist Dr MziziMkavu JF-Expert Member Feb 3, 2009 42,329 33,138 Nov 22, 2012 #1 Ikikutokea wewe utaamuaje? Je utamkubali mtoto au kumkataa mtoto?
MadameX JF-Expert Member Dec 27, 2009 7,792 3,848 Nov 22, 2012 #3 Itabidi ushukuru mungu tu, mungu ndo mpangaji wa hayo.
M MgungaMiba JF-Expert Member Aug 28, 2011 999 815 Nov 22, 2012 #4 Kama ni Albino kweli, hakuna tatizo, ni kawaida, lakini kama Mzungu, aisee, hata DNA ikinithibitishia bado utata!
Kama ni Albino kweli, hakuna tatizo, ni kawaida, lakini kama Mzungu, aisee, hata DNA ikinithibitishia bado utata!
Enny JF-Expert Member May 26, 2009 962 130 Nov 22, 2012 #5 MgungaMiba said: Kama ni Albino kweli, hakuna tatizo, ni kawaida, lakini kama Mzungu, aisee, hata DNA ikinithibitishia bado utata! Click to expand... kama mzungu ni bahati zaidi kuwa na mzungu kwenye ukoo wao
MgungaMiba said: Kama ni Albino kweli, hakuna tatizo, ni kawaida, lakini kama Mzungu, aisee, hata DNA ikinithibitishia bado utata! Click to expand... kama mzungu ni bahati zaidi kuwa na mzungu kwenye ukoo wao
MaxShimba JF-Expert Member Apr 11, 2008 35,772 4,054 Nov 22, 2012 #6 MziziMkavu said: Ikikutokea wewe utaamuaje? Je utamkubali mtoto au kumkataa mtoto? Click to expand... Jamaa kaliwa. Wanaume tunakazi mweeeee. Huyu Mutoto ni Muthunghu huyu
MziziMkavu said: Ikikutokea wewe utaamuaje? Je utamkubali mtoto au kumkataa mtoto? Click to expand... Jamaa kaliwa. Wanaume tunakazi mweeeee. Huyu Mutoto ni Muthunghu huyu
Blaki Womani JF-Expert Member Feb 28, 2011 11,229 13,431 Nov 22, 2012 #7 akiwa albino unamshukuru Mungu maisha yanasonga.....asijekuwa Bushoke patachimbika
Mshuza2 JF-Expert Member Dec 27, 2010 11,018 16,451 Nov 22, 2012 #8 Picha zingine bwana,ukiangalia shingo ya huyo dada na hilo gauni la hospitali na hiyo miguu mmmh! Ujumbe umefika!
Picha zingine bwana,ukiangalia shingo ya huyo dada na hilo gauni la hospitali na hiyo miguu mmmh! Ujumbe umefika!
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Nov 23, 2012 #9 huyu jamaa anadhani mkewe ana mashine ya photocopy huko chini?